Lulu wa Majizo na Lulu baada ya Majizo

miss charming

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2016
Posts
910
Reaction score
905
Hii Picha imeniaminisha kwamba lulu ameachana na majizo maana sio kwa kukonda huko.[emoji116] [emoji116]

Check hii Picha akiwa na majizo[emoji116] [emoji116] [emoji116]

Kumbe pesa sabuni ya roho,. Ila niliipenda couple yao coz nakapenda kalulu
 
Majizo amekat........m...b....weee amepekua kila kona alafu amekadump...lazima kakonde aisee.....uhusiano unapovunjika wanawake wanakuwa at a loss...big loss ....maana wametumika barabara...
 
Nyie mnasema nn lulu alikua kisu wakat anatoka na marehem kanumba bana
Mtt alikua ukimwangalia tu hv
Udenda unakutoka

Now amechuja hata nkipishana nae swez kugeuza shingo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…