Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Binti kalumanzila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]heshima pesa kisu mzigooo
Ohoooo!!!!Binti kalumanzila
Duh!!!lulu ana ukali gani zaidi ya kuwa katoto kadogo ila kana mkosi
komwe alilonalo haitaji muamvuli wakati huu wa mvua
Ngoja niendelee kuzitafuta kwa kasi nisije ishia kuwaita shemeji watoto wakali.pesa ariif
Sie tusio na pesa labda magojwa ya moyo yatokanayo na tamaa ya tusivyomudu ama "pressure" ya kutoswa na wazuri ambao hawakujigundua kabla na kukimbilia pesa...
Hayo magonjwa mengine ya kuwakumbusha hao 'matajiri'
aiseelulu ana ukali gani zaidi ya kuwa katoto kadogo ila kana mkosi
komwe alilonalo haitaji muamvuli wakati huu wa mvua
[emoji23][emoji23][emoji23]Penda couple ya wazazi wako.
imefanyaje?....Aisee hiyo Avatar yako!!
hahahah zitafute mzazNgoja niendelee kuzitafuta kwa kasi nisije ishia kuwaita shemeji watoto wakali.
luluMajizo ndyo nani?
Duuh kumbe ndio majizo kidogo niongie Google nione ni nani majizo?lulu
wala hata usiende ni huyo hapo kwenye pichaDuuh kumbe ndio majizo kidogo niongie Google nione ni nani majizo?
imefanyaje?
Si katakuwa kanazitoa.Haka katoto wangekapiga mimba ingekuwa poa sana.
Pesa ndio nyota ya mchezo kuwa nazo uoneMbona anaonekana yuko kawaida tu ila huyo majizo ananyota ya kuwagonga warembo wakali.