Luludiva: Nina miaka 19, nitaolewa nikifikisha miaka 25

Luludiva: Nina miaka 19, nitaolewa nikifikisha miaka 25

Threads kama hizi ndizo hasa alikuwa anazitafuta Luludiva!

Endapo angesema she's 27 or 28 au umri wowote unaofanana na yeye, basi hii thread isingekuwepo, na endapo ingekuwepo isinge-trend (kwa viwango vya Luludiva)!

Uzuri wa Luludiva haoni taabu kufanya chochote ili mradi tu azungumziwe kama ambavyo alimlipa TID atangaze kwamba ana mtoto kamsusa kijijini kwao!
 
Hapa ndio unaweza kuona Kuwa Ukishindanisha 🍆🚶‍♂️🥒 Mix hadi papuchi inaota sugu ili kutafuta utaalamu na connection kwa kutumia Jinsia yako unaishia kukomaa na kuzeeka Mapema Hakyanani! Happy 19th Birthday Kungwi
 
Hilo ziwa ni la 19 years old? [emoji119][emoji119][emoji119] na hiyo sura je? Basi watoto siku hizi wanazeeka kabla hawajakuaView attachment 1197781
Kwa wataalaamu wa anatomy wanaangalia misuli ya miguu shingo misuli ya sura hasa RISORIUS MUSCLE
PROCERUS MUSCLE
ZYGOMATICUS MINOR MUSCLE, CORRUGATOR MUSCLE
wanapata majibu I think she is 32
 
Well, Watanzania mnaochangia humu na kuponda umri alioutangaza huyu binti, muelewe kuwa kawazidi muono na hiyo ni nyundo kwa wengi wenu lakini hamjitambui.

Kama mwenyewe anaji "feel" 19 wewe ni nani wa kumpangia umri wake?

Let her be all she can be. Either take it or leave it.

Ubaguzi upo wa aina nyingi na huyo binti kawazidi muono kwa kuupiga vita ubaguzi wa umri bila nyinyi kujielewa.
 
Lulu diva sio mkubwa kiasi hicho maana kaka yake idris sultan kazaliwa 93.kuhusu 19 am not sure ila kazaliwa chini ya 93...sema tu watoto wa like sikuhizi wanaanza mambo makubwa mapema
 
Lulu diva sio mkubwa kiasi hicho maana kaka yake idris sultan kazaliwa 93.kuhusu 19 am not sure ila kazaliwa chini ya 93...sema tu watoto wa like sikuhizi wanaanza mambo makubwa mapema
Hebu fanya magazijuto
tapatalk_1567668277320.jpeg
 
Back
Top Bottom