Luludiva: Nina miaka 19, nitaolewa nikifikisha miaka 25

Sasa hivi yupo busy kuomba michango ya kumtibu mama yake. Hawa wasanii uchwara wanajaribu vijana wetu sana maana maisha wanayoishi ni full Sanaa.
 
Kwa hiyo now atakuwa na miaka 11!? Kama ni kweli, nini kimefanya manyonyo yake yastaafu mapema wakati ana miaka michache hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…