Lundo la Viongozi wa Chadema tulioambiwa watahamia CCM Tarehe 5/02/2025 limeyeyukia wapi?

Lundo la Viongozi wa Chadema tulioambiwa watahamia CCM Tarehe 5/02/2025 limeyeyukia wapi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.

Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.

Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?

Screenshot_2025-01-28-10-56-28-1.png
 
CCM ni Chama cha Watanzania wote kwa vitendo sio maneno tu, sio lazima waje leo au kesho, hata siku za mbeleni aliyechoka vyama vingine anakaribishwa kwa kukiri na kuifuata Katiba ya CCM..!!
 
CCM ni Chama cha Watanzania wote kwa vitendo sio maneno tu, sio lazima waje leo au kesho, hata siku za mbeleni aliyechoka vyama vingine anakaribishwa kwa kukiri na kuifuata Katiba ya CCM..!!
Tulipewa hadi Tarehe na mashada yaliandaliwa
 
CCM ni Chama cha Watanzania wote kwa vitendo sio maneno tu, sio lazima waje leo au kesho, hata siku za mbeleni aliyechoka vyama vingine anakaribishwa kwa kukiri na kuifuata Katiba ya CCM..!!
Hakuna anayebisha lakini acheni kuiba kura ili tuone kama kweli mnapendwa, jipimeni kihalali nasio kulazimisha kupendwa.
 
Hakuna anayebisha lakini acheni kuiba kura ili tuone kama kweli mnapendwa, jipimeni kihalali nasio kulazimisha kupendwa.


Kura mtu akiibiwa lazima uende mahakamani na ushahidi, kama huna ushahidi itabakia kelele tu, CHADEMA juzi kanda ya Nyasa walisema kabisa kuna kura za uwizi wazi wazi, na Sugu aliiba kura, sasa CCM sio wezi kumbe, hadi CHADEMA wezi sana, so hakuna mtakatifu
 
Kura mtu akiibiwa lazima uende mahakamani na ushahidi, kama huna ushahidi itabakia kelele tu, Chadema juzi kanda ya Nyasa walisema kabisa kuna kura za uwizi wazi wazi, na Sugu aliiba kura, sasa CCM sio wezi kumbe, hadi CHADEMA wezi sana, so hakuna mtakatifu
Mahakama hizi hizi ambazo Mahakimu ni akina Thomas Simba?
 
Wahame tu.

Tunasafisha chama na kuimarisha demokrasia.
Tumefanya uchaguzi na kuondoa ugwiji, na tunaenda kumaliza viashiria vya rushwa na rushwa kwenye chaguzi zetu.

CCM wajiandae kunyolewa tyu. Na hao wanaohama waharakishe.
 
Fisi alipomwona CHADEMA akitembea na kuchezesha mikononi aliamini mikono hiyo itadondoka yenyewe apate msosi,

Mwisho wa siku CHADEMA kaingia nyumbani na kuendelea na KAZI akimwacha fisi nje akiwa na mshangao mkuu!!
 
CCM ni Chama cha Watanzania wote kwa vitendo sio maneno tu, sio lazima waje leo au kesho, hata siku za mbeleni aliyechoka vyama vingine anakaribishwa kwa kukiri na kuifuata Katiba ya CCM..!!
Sidhani kama kuna ambae anaweza kuja kwako, labda kwa kutumia pesa kama kipindi cha magu
 
Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.

Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.

Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?

View attachment 3226849
Uliambiwa na nchimbi?
 
Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.

Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.

Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?

View attachment 3226849
tuliza nchencheto na na kiroho papo gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom