Lundo la Viongozi wa Chadema tulioambiwa watahamia CCM Tarehe 5/02/2025 limeyeyukia wapi?

Lundo la Viongozi wa Chadema tulioambiwa watahamia CCM Tarehe 5/02/2025 limeyeyukia wapi?

Hujui CCM



Unakumbuka Wakati Wa Mzilankende, Akiwa Rais
Gambo RC AR
Wakaandaliwa Watu Toka CDM Ili Akifanya Ziara Rais Watarudi CCM
Sasa Wahuni Wa CDM Uwanja Wa Sheikh Amri Abeid
Wakakimbia Na Pesa Za CCM
Kwa Mbwembwe Wanatangaza Kuna Watu Wanarudi CCM


Uwanja Mzima Ukawa Kimya, Unawangoja Wageni Wanarudi CCM
Hawakuonekana, Akaitwa Wewe Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako ?
Kimya , Jiwe Kwa Hasira Bila Kuzima Microphone Akasema, Pumbavu Na Watu Wako
 
Katibu Mwenezi wa CCM, ana taarifa sahihi sana kuliko wewe, alisema Msigwa ataenda CCM mkabisha, leo yuko wapi? Na hao kama kawataja, ni suala la muda tu
ndio maana tumeuliza
 
Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.

Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.

Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?

View attachment 3226849
Nani aende jumba bovu limwangukie
 
CCM ni Chama cha Watanzania wote kwa vitendo sio maneno tu, sio lazima waje leo au kesho, hata siku za mbeleni aliyechoka vyama vingine anakaribishwa kwa kukiri na kuifuata Katiba ya CCM..!!
Sio cha watanzania wote, bali cha wazee na mazombie.
 
Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.

Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.

Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?

View attachment 3226849
Ngoma imekuwa nzito.....mbele haiendi nyuma hairudi
 
Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.

Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.

Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?

View attachment 3226849
Wakamfuate Wasira! Aisee!
 
Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.

Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.

Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?

View attachment 3226849
Wameona hailipi wakikumbuka Upendo Peneza na Mchungaji Msigwa hadi sasa hawajakumbukwa.
 
Hakuna mtu mwenye akili atakubali kwenda kuongozwa na babu kizee Mzee wa Gombe
 
Back
Top Bottom