Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Na Amos Makalla
Katibu Mwenezi wa CCM, ana taarifa sahihi sana kuliko wewe, alisema Msigwa ataenda CCM mkabisha, leo yuko wapi? Na hao kama kawataja, ni suala la muda tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Amos Makalla
ndio maana tumeulizaKatibu Mwenezi wa CCM, ana taarifa sahihi sana kuliko wewe, alisema Msigwa ataenda CCM mkabisha, leo yuko wapi? Na hao kama kawataja, ni suala la muda tu
Nani aende jumba bovu limwangukieKulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.
Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.
Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?
View attachment 3226849
Sio cha watanzania wote, bali cha wazee na mazombie.CCM ni Chama cha Watanzania wote kwa vitendo sio maneno tu, sio lazima waje leo au kesho, hata siku za mbeleni aliyechoka vyama vingine anakaribishwa kwa kukiri na kuifuata Katiba ya CCM..!!
Ngoma imekuwa nzito.....mbele haiendi nyuma hairudiKulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.
Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.
Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?
View attachment 3226849
Wakamfuate Wasira! Aisee!Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.
Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.
Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?
View attachment 3226849
Tena mazombie waliolaaniwa!Sio cha watanzania wote, bali cha wazee na mazombie.
Wameona hailipi wakikumbuka Upendo Peneza na Mchungaji Msigwa hadi sasa hawajakumbukwa.Kulikuwa na Nyuzi mfululizo hapa Jf na kwingineko, kwamba umati wa viongozi wa Chadema wangeungana na Mchungaji Msigwa huko CCM, na kwamba umati huo ungejiunga na CCM siku ya kuadhimisha miaka 48 ya Chama hicho huko Dodoma.
Miongoni mwa Wasambazaji wa Taarifa hiyo ya kuvutia yumo Pedeshee Amos Makalla, Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA na ambaye sasa ni Katibu wa Uenezi wa CCM.
Sasa Swali letu ni hili, Umati huo umeyeyukia wapi?
View attachment 3226849