Lunyungu;
Binafsi nilishangaa sana kukukosa kipindi hiki na najua energy yako would have been more than flavor to this election season, you are unique!!
Back to the condition yako, maumivu yake hayasemeki ,a lakini si vibaya kuomba mungu na pia kujali masharti ya daktari!! pia nadhani your condition is reversible kwahiyo omba fuata masharti
Nimesikia operesheni, je is the date and appointment set? uko ok kwenye financing ya hiyo op? au kuna namna nyingine waweza hitaji msaada??
Nakuombea upone, lakini cha maana zaidi naombea successful operation na smooth and brief process towards operation yako
we miss u...