Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Kwa asie ijua Ruby, hii ndio Ruby.
Ukikutana na uzito huo, lazima ulale na kina Wema sepetu.
Zuchu mwenyewe hachomoki hapo. View attachment 1571029
Mkuu vp mpakani now wanaluhusiwa kupita, maana nilikua na jamaangu tulikua na latiba ya kuzamia huko machimboni,naomba unipe muongoze maana nasikia Islamic state wanaua raia ovyo
 
Malizia mkuu,
 
Kwahiyo jamaa tumesoma shule moja yaan Yombo Dovya au Jitihada, haya malizia story hiyo
 
Poa Mzee.
 
Mods waunganishe hii thread...
 
Kilicho nisukuma kuirudisha, ni kwanza mama yangu mzazi alikua hataki nitembee na kitu hicho (kumbuka usipo msikiliza mama yako, hiyo ni laana)

Pili ni mauza uza ya ile dawa.
Usiku, ikitaka kufanya kazi inaanza kumwekua mwekua, mpaka kero.

Nakitendo cha kuitupa (Mala mbili) na kila nikiitupa ina rudi tena, hapo ndipo ilipo kua inani kata mate.

Kiufupi hata wewe, ungeiogopa.
Mimi nisingerudisha hiyo dawa mpaka niombwe na raia tena kwa magoti.Wachawi walaaniwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…