chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 752
- 1,239
Nipo tayari shida naogopa hawa waasi
Sipo njema kifedha kipindi hiki mkuuTuwasiliane mkuu twende mwezi ujao njoo pm
Weka namba ya mzee nikachukue kibao ambacho najua kitanisaidia mambo matatu, kwanza kujilinda na uchawi, pili kuwakomesha washenzi wanaoniroga na tatu kitanipa umaarufu maana nikifika eneo la tukio najinadi kabisa kuwa hapa patakufa wachawi watakao nichezea na kwamba mimi sina hatia wakifa maana nawakanya hapa na nyote mnasikia.
Usiku chombo kikianza kumwekua mwekua nalipuliza tartiiiiibu huku nikitabasamu, chupa ya bia ikivunjika natoa sauti kubwa "MAAMAEEEE" [emoji16][emoji16]
Weka namba ya mzee nikachukue kibao ambacho najua kitanisaidia mambo matatu, kwanza kujilinda na uchawi, pili kuwakomesha washenzi wanaoniroga na tatu kitanipa umaarufu maana nikifika eneo la tukio najinadi kabisa kuwa hapa patakufa wachawi watakao nichezea na kwamba mimi sina hatia wakifa maana nawakanya hapa na nyote mnasikia.
Usiku chombo kikianza kumwekua mwekua nalipuliza tartiiiiibu huku nikitabasamu, chupa ya bia ikivunjika natoa sauti kubwa "MAAMAEEEE" [emoji16][emoji16]
Msinisahau na mie.
Nitawapeleka
Mkuu msinisahau
Je kama mtu ana kahirizi kake cha kinga yake mwenye lupatu inamvuta?Sasa hiyo unayo tembea nayo na mchawi hatambi nyumba kumi, ndio hiyo LUPATU.
Dada, hiyo hata mchawi apite zake tu (akiwa na uchawi mfukoni) lazima imvute.
Eti sauti kubwa MAMAEEEE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka namba ya mzee nikachukue kibao ambacho najua kitanisaidia mambo matatu, kwanza kujilinda na uchawi, pili kuwakomesha washenzi wanaoniroga na tatu kitanipa umaarufu maana nikifika eneo la tukio najinadi kabisa kuwa hapa patakufa wachawi watakao nichezea na kwamba mimi sina hatia wakifa maana nawakanya hapa na nyote mnasikia.
Usiku chombo kikianza kumwekua mwekua nalipuliza tartiiiiibu huku nikitabasamu, chupa ya bia ikivunjika natoa sauti kubwa "MAAMAEEEE" [emoji16][emoji16]
Hapa tu sina hicho kibao lakini napambana nao kwa ulozi wa size ya kati, hawa washenzi sio wa kuwachekea maana kosa moja ni umasikini wa maisha au kifo.Mkuu wewe unaonekana katiki kama mimi yaani siwapendi hawa wachawi
AliyadharauSasa mama mkubwa wako kwa nini hakusikia maneno yako
Mkuu nilikuwa nimeplan nikukaribishe kwangu mitaa fulani ya kisesa kuna vigagula balaa hadi nashindwa kuhamia kwenye hiyo nyumba kwa story nazopewa na wenyeji zangu zinatisha Mkuu.Nilisha kirudisha kwa mwenyewe kitambo.
Na kwasasa sikitaki tena.
Mkuu ukifanikisha usisite kuwasiliana nami nimekipenda ila sitaki kukimiliki.Sawa tuzidi kuwasiliana mapema mwezi ujao tutaenda
Ningependa kujua gharama zake kama vile nauli na mahitaji muhim ya njiani kwenda na kurudi na umbali wake wa siku ngapi mana Kwa Uzi niliousoma adress inaonekana mbali ukizingatia mi mjamzito nisije zalia njiani ningependa kwenda piaSawa tuzidi kuwasiliana mapema mwezi ujao tutaenda
Mamaye[emoji23][emoji23][emoji23]Hio dawa ukiingia nayo pale bungeni sijui nani atapona.
Kila dakika utakua unaona mwanga mwekundu mara paaah chupa ya bia imevunjika then wimbo wa Taifa Tbc.
Mama yako mchawi pia sema alikuwa anaogopa kuchezea uchawi wake sehemu uliopo maana angejaribu kama ndugu zake angekwenda na maji.Asinge baki.
Nimempa kakishika, kaishia kukiogopa tu.
Kivipi fafanuaHakutaka uende na hicho kibao kwenye harusi au misiba cuz ungeua haraiki ya watu
Mambo mengi ya kishenzi yanafanyika sehemu hizo.