Nipo tayariTulio tayari kwenda msumbiji kufata hicho kibao tuwasiliane pm ili tujue namna ya kujipanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo tayariTulio tayari kwenda msumbiji kufata hicho kibao tuwasiliane pm ili tujue namna ya kujipanga
Hahahaha! Asante sana mkuu..Kuwaka waka
Kunawale wadudu usiku wanakuwa nataa kwenye matako yao ile taa yao inavyowaka Nimtindo wakumekuwa mekuwa
Asante sana mkuu, bila shaka huyo atakuwa kimulimuli.Kuwaka waka
Kunawale wadudu usiku wanakuwa nataa kwenye matako yao ile taa yao inavyowaka Nimtindo wakumekuwa mekuwa
Mara nyingi wachawi huwa wanajiamini sana na kujiona wao ndio wao hakuna wa kuwazuiaSasa mama mkubwa wako kwa nini hakusikia maneno yako
😅😅😅Huenda hata hao wadudu hawajui
Tumrahishie kama viatu vya watoto wadogo vile vinawakaga taa
Tulio tayari kwenda msumbiji kufata hicho kibao tuwasiliane pm ili tujue namna ya kujipanga
Nipo tayari
Bora ukaushee kimya Kama vile ujui ayo Mambo ya kusema wanaweza wakajipanga wakakupiga pangaWeka namba ya mzee nikachukue kibao ambacho najua kitanisaidia mambo matatu, kwanza kujilinda na uchawi, pili kuwakomesha washenzi wanaoniroga na tatu kitanipa umaarufu maana nikifika eneo la tukio najinadi kabisa kuwa hapa patakufa wachawi watakao nichezea na kwamba mimi sina hatia wakifa maana nawakanya hapa na nyote mnasikia.
Usiku chombo kikianza kumwekua mwekua nalipuliza tartiiiiibu huku nikitabasamu, chupa ya bia ikivunjika natoa sauti kubwa "MAAMAEEEE" [emoji16][emoji16]
Mkuu Mpaka kufika uko inagharim shilingi ngapi?Panda gari ya Newala, ukishuka newala stand utachukua boda boda ziendazo Nkunya.
Boda boda itakuchukua mpaka mpakani, utagonga paspoti upande wa Tanzania, hivyo safari ya boda boda Itaendelea mpaka Ruvuma.
Ruvuma utapanda mtumbwi utakao kuvusha mpaka ng'ambo ya mto.
Ng'ambo ya mto utaikuta magresheni ya Mocambique, hapo napo utagonga paspoti yako.
Hapo Magresheni ya Mocambique utakutana na gari za mpakani, itakayo kupeleka mpaka Mueda (wilaya ya kwanza, ya mkoa wa Cabo del Gado ukitokea newala)
Mweda ukimuuliza mtu yeyote kua unakwenda Shapa kwa mzee LUPATU, hata mtoto mdogo atakupeleka.
Kwa Mdengereko wewe tajiriMadini nishapata sana.
Nikitaja migao niliyo wahi kugawana unaweza kuacha kazi yako ukani fuata.
Kuhusu mali ninazo miliki ni Nyumba, na kirikuu mbili (vigali vidogo vya mizigo) pia nina shamba la minanasi kijijini Hanga (njia ya nyamisati )
Lakini mpaka sasa bado nachimba.
WACHIMBAJI pesa tuna pata tatizo letu ni Bata. Tunatumia mpaka chenji ya mwisho.
Mkuu msinisahauTulio tayari kwenda msumbiji kufata hicho kibao tuwasiliane pm ili tujue namna ya kujipanga
Ngoja tutunge vuta subira"""""""
natamani stori nyengine weekend hii kwa yeyote aliyonayo.
Mkuu mi nitakwenda, gharama zake zikoje na kama inawezekana naomba niPM namba zakePanda gari ya Newala, ukishuka newala stand utachukua boda boda ziendazo Nkunya.
Boda boda itakuchukua mpaka mpakani, utagonga paspoti upande wa Tanzania, hivyo safari ya boda boda Itaendelea mpaka Ruvuma.
Ruvuma utapanda mtumbwi utakao kuvusha mpaka ng'ambo ya mto.
Ng'ambo ya mto utaikuta magresheni ya Mocambique, hapo napo utagonga paspoti yako.
Hapo Magresheni ya Mocambique utakutana na gari za mpakani, itakayo kupeleka mpaka Mueda (wilaya ya kwanza, ya mkoa wa Cabo del Gado ukitokea newala)
Mweda ukimuuliza mtu yeyote kua unakwenda Shapa kwa mzee LUPATU, hata mtoto mdogo atakupeleka.
Nipo tayari