Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Weka namba ya mzee nikachukue kibao ambacho najua kitanisaidia mambo matatu, kwanza kujilinda na uchawi, pili kuwakomesha washenzi wanaoniroga na tatu kitanipa umaarufu maana nikifika eneo la tukio najinadi kabisa kuwa hapa patakufa wachawi watakao nichezea na kwamba mimi sina hatia wakifa maana nawakanya hapa na nyote mnasikia.
Usiku chombo kikianza kumwekua mwekua nalipuliza tartiiiiibu huku nikitabasamu, chupa ya bia ikivunjika natoa sauti kubwa "MAAMAEEEE" [emoji16][emoji16]
 
Kuwaka waka
Kunawale wadudu usiku wanakuwa nataa kwenye matako yao ile taa yao inavyowaka Nimtindo wakumekuwa mekuwa
Hahahaha! Asante sana mkuu..
Kuwaka waka
Kunawale wadudu usiku wanakuwa nataa kwenye matako yao ile taa yao inavyowaka Nimtindo wakumekuwa mekuwa
Asante sana mkuu, bila shaka huyo atakuwa kimulimuli.
 
Weka namba ya mzee nikachukue kibao ambacho najua kitanisaidia mambo matatu, kwanza kujilinda na uchawi, pili kuwakomesha washenzi wanaoniroga na tatu kitanipa umaarufu maana nikifika eneo la tukio najinadi kabisa kuwa hapa patakufa wachawi watakao nichezea na kwamba mimi sina hatia wakifa maana nawakanya hapa na nyote mnasikia.
Usiku chombo kikianza kumwekua mwekua nalipuliza tartiiiiibu huku nikitabasamu, chupa ya bia ikivunjika natoa sauti kubwa "MAAMAEEEE" [emoji16][emoji16]
Bora ukaushee kimya Kama vile ujui ayo Mambo ya kusema wanaweza wakajipanga wakakupiga panga
 
Panda gari ya Newala, ukishuka newala stand utachukua boda boda ziendazo Nkunya.
Boda boda itakuchukua mpaka mpakani, utagonga paspoti upande wa Tanzania, hivyo safari ya boda boda Itaendelea mpaka Ruvuma.

Ruvuma utapanda mtumbwi utakao kuvusha mpaka ng'ambo ya mto.

Ng'ambo ya mto utaikuta magresheni ya Mocambique, hapo napo utagonga paspoti yako.

Hapo Magresheni ya Mocambique utakutana na gari za mpakani, itakayo kupeleka mpaka Mueda (wilaya ya kwanza, ya mkoa wa Cabo del Gado ukitokea newala)

Mweda ukimuuliza mtu yeyote kua unakwenda Shapa kwa mzee LUPATU, hata mtoto mdogo atakupeleka.
Mkuu Mpaka kufika uko inagharim shilingi ngapi?
 
Madini nishapata sana.
Nikitaja migao niliyo wahi kugawana unaweza kuacha kazi yako ukani fuata.
Kuhusu mali ninazo miliki ni Nyumba, na kirikuu mbili (vigali vidogo vya mizigo) pia nina shamba la minanasi kijijini Hanga (njia ya nyamisati )
Lakini mpaka sasa bado nachimba.
WACHIMBAJI pesa tuna pata tatizo letu ni Bata. Tunatumia mpaka chenji ya mwisho.
Kwa Mdengereko wewe tajiri
 
Panda gari ya Newala, ukishuka newala stand utachukua boda boda ziendazo Nkunya.
Boda boda itakuchukua mpaka mpakani, utagonga paspoti upande wa Tanzania, hivyo safari ya boda boda Itaendelea mpaka Ruvuma.

Ruvuma utapanda mtumbwi utakao kuvusha mpaka ng'ambo ya mto.

Ng'ambo ya mto utaikuta magresheni ya Mocambique, hapo napo utagonga paspoti yako.

Hapo Magresheni ya Mocambique utakutana na gari za mpakani, itakayo kupeleka mpaka Mueda (wilaya ya kwanza, ya mkoa wa Cabo del Gado ukitokea newala)

Mweda ukimuuliza mtu yeyote kua unakwenda Shapa kwa mzee LUPATU, hata mtoto mdogo atakupeleka.
Mkuu mi nitakwenda, gharama zake zikoje na kama inawezekana naomba niPM namba zake
 
Back
Top Bottom