Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Speaking of kukimbia na mtaji daaah kuna mtu kajua kuniweza mwaka huu zaidi ya million 4 amekula kimasikhara ,yan nimepungua kutoka kilo 75 hadi 55 within a month ,kila nikiwaza cha kumfanya nakosa nguvu[emoji24][emoji24]
Pooole sana yaani watu wa hivi wanatia hasira sana ila nakuhakikishia mwisho wao huwa si mzuri. Kuna li mtu nililiweka kwenye biashara ilivyonoga likakimbia na mtaji wooote.
Nlilaani balaa yaani kwa hasira nilizokuwa nazo kipindi hicho ningepata hii lupatu ningeliloga tu, la baada ya muda kusonga nilizoea hali. Majuzi mke wake naniambia walishaachana kwa sababu ya jamaa alikuwa kama kachanganyikiwa kila siku ni kumpiga mke. Aseee hii dunia acha tu ila malipo huwa ni hapa hapa.
 
Asante best yaani unaweza kukufuru ,lakini yote kheri naamini Mungu atanilipa na pia nimepata funzo Dont trust anybody.
 
Munguuu wanguu,,hv dirisha likiwaa locked wanalifunguaa vipi jmn,uwiiiiii
 
[emoji26] pole sana dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…