Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Noted
 
Mkuu nilikuwa nimeplan nikukaribishe kwangu mitaa fulani ya kisesa kuna vigagula balaa hadi nashindwa kuhamia kwenye hiyo nyumba kwa story nazopewa na wenyeji zangu zinatisha Mkuu.
Nakuomba uhamie usiogope. Pia MIE naishi karibu na huko. Nitafute nikupe Ushauri tu ndugu. Nipo kata ya Kishiri na igoma. Muda mwingi napatikana
 
Wengi sanaaa ila nadhani itakuwa nafuu tukiwa wengi, maana tutakuwa tunapeana stori za hapa na pale hadi tunafika, kwa hayo maelezo inaonekana ni mbali sanaaaaaaa huko kwa huyo babu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni mbali wanasema ina chukua week kufika,pia inaweza fanya urahisi wa usafir tukiwa wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…