n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Eti chupa ya bia ikipasuka natoa sauti kuubwa *****[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Weka namba ya mzee nikachukue kibao ambacho najua kitanisaidia mambo matatu, kwanza kujilinda na uchawi, pili kuwakomesha washenzi wanaoniroga na tatu kitanipa umaarufu maana nikifika eneo la tukio najinadi kabisa kuwa hapa patakufa wachawi watakao nichezea na kwamba mimi sina hatia wakifa maana nawakanya hapa na nyote mnasikia.
Usiku chombo kikianza kumwekua mwekua nalipuliza tartiiiiibu huku nikitabasamu, chupa ya bia ikivunjika natoa sauti kubwa "MAAMAEEEE" [emoji16][emoji16]
Habari ndo hiyo mzee,Bado watu wanaamini uchawi mpaka leo?
Kwa hiyo nywele kunyolewa bila wewe kujua zimenyolewaje tayari ni uthibitisho kwamba uchawi upo?H
Habari ndo hiyo mzee,
Miezi mitatu iliyopita sehemu niliyokuwa nilikuwa nasikia sana kuna uchawi uchawi lakini nilikuwa siamini, kuna siku nililala kuamka asubuhi nakuta nywele zangu kichwani zimenyolewa na usiku kabla ya kulala zilikuwa ziko vizuri,
Upo hapo
Kweli Kabisa nywele zilinyolewa, ntakutupia kapicha huko pm uone nilivyonyolewaKwa hiyo nywele kunyolewa bila wewe kujua zimenyolewaje tayari ni uthibitisho kwamba uchawi upo?
Kwanza una ushahidi kwamba nywele zilinyolewa hivyo na si kwamba unatupiga fix tu hapa?
Sina ushahidi Kivip wakati pamekuwa Para kabisa, watu waliniambia Vip hizo nywele mbona hivo kucheki hivi lahaula nikajiselfii nione palivo 😢😢Kwa hiyo nywele kunyolewa bila wewe kujua zimenyolewaje tayari ni uthibitisho kwamba uchawi upo?
Kwanza una ushahidi kwamba nywele zilinyolewa hivyo na si kwamba unatupiga fix tu hapa?
Basi Jana nimekaa bar nagonga beer....
mara meza ya nyuma yangu chupa ya bia ilidondoka kutoka mezani paap.....!!
nikasema tayari.......
basi nikikumbuka na hii story nacheka sana!!
Mnavyoongea sasa utafikiri kweli eti[emoji3][emoji38][emoji38]Inaanzaga na Kumwekua mwekua
Hii ni gharama kwa ujumla au nauli tu?Andaa laki 3
Nimechelewa kuona wito mkuu ila toka juzi naupitia unajua mi huwa nasoma komenti baada ya komenti
Hakuna shaka kabisa, cha msingi umefika eneo la tukioNimechelewa kuona wito mkuu ila toka juzi naupitia unajua mi huwa nasoma komenti baada ya komenti
Shukrani though
Sasa Zuchu nae demu? We kweli Lupatu ImekuweushaKwa asie ijua Ruby, hii ndio Ruby.
Ukikutana na uzito huo, lazima ulale na kina Wema sepetu.
Zuchu mwenyewe hachomoki hapo. View attachment 1571029
Unademu mzuri kama zuchu kweli au CCM imekuweusha
Bado watu wanaamini uchawi mpaka leo?
Bado watu wanaamini uchawi mpaka leo?
Imani ya dini/Mungu na imani ya uchawi kimsingi ni ile ile tu.Kama watu wanaamini Mungu yupo
Na dini wanaziamini na dini zimewaambia uchawi upo..
Why wasiamini uchawi upo??
Yes,tufungue uzi na kupanga sehemu ya kukutana,kwa wanaoogopa kujulikana tunaweza panga kukutana mahali a bila kutaja majina yetu ya jfItabidi muda ukiwadia tufungue uzi
Atakaye atajoin
Binafsi naamini kitu nachokionaImani ya dini/Mungu na imani ya uchawi kimsingi ni ile ile tu.
Imani ya supernatural powers.
Ndiyo maana mimi nazikataa zote na naelewa point yako kwamba ukiamini habari za dini/ Mungu, kupinga habari za uchawi ni vigumu.
Nimepita comments za huko juu nimeona wengi wamejitolea kwendaYes,tufungue uzi na kupanga sehemu ya kukutana,kwa wanaoogopa kujulikana tunaweza panga kukutana mahali a bila kutaja majina yetu ya jf
Dini zote zinataka uamini bila kupinga chochote.. Dogmatic ndo msingiImani ya dini/Mungu na imani ya uchawi kimsingi ni ile ile tu.
Imani ya supernatural powers.
Ndiyo maana mimi nazikataa zote na naelewa point yako kwamba ukiamini habari za dini/ Mungu, kupinga habari za uchawi ni vigumu.
Point mkuu,watu wanawatukuza waisrael wakati yesu hawamjuiDini zote zinataka uamini bila kupinga chochote.. Dogmatic ndo msingi
Ndo maana kina Galileo waliuwawa Kwa
Kuanza kuhoji hoji mambo na kuongea tofauti na imani ilivyosema..
Ndo maana humu kuna threads watanzania wanararuana sababu ya dini
Wapo wanaoitetea Israel humu wakiamini
Wapo pamoja na Yesu hata kama Israel inaua innocents Palestinian children..wao kwao roho kwatu wakiamini waisrael ni watu wa Yesu hata kama Jewish religion yenyewe haitambui Yesu wala kumtaja