Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Weka namba ya mzee nikachukue kibao ambacho najua kitanisaidia mambo matatu, kwanza kujilinda na uchawi, pili kuwakomesha washenzi wanaoniroga na tatu kitanipa umaarufu maana nikifika eneo la tukio najinadi kabisa kuwa hapa patakufa wachawi watakao nichezea na kwamba mimi sina hatia wakifa maana nawakanya hapa na nyote mnasikia.
Usiku chombo kikianza kumwekua mwekua nalipuliza tartiiiiibu huku nikitabasamu, chupa ya bia ikivunjika natoa sauti kubwa "MAAMAEEEE" [emoji16][emoji16]
Eti chupa ya bia ikipasuka natoa sauti kuubwa *****[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
H
Bado watu wanaamini uchawi mpaka leo?
Habari ndo hiyo mzee,
Miezi mitatu iliyopita sehemu niliyokuwa nilikuwa nasikia sana kuna uchawi uchawi lakini nilikuwa siamini, kuna siku nililala kuamka asubuhi nakuta nywele zangu kichwani zimenyolewa na usiku kabla ya kulala zilikuwa ziko vizuri,
Upo hapo
 
H
Habari ndo hiyo mzee,
Miezi mitatu iliyopita sehemu niliyokuwa nilikuwa nasikia sana kuna uchawi uchawi lakini nilikuwa siamini, kuna siku nililala kuamka asubuhi nakuta nywele zangu kichwani zimenyolewa na usiku kabla ya kulala zilikuwa ziko vizuri,
Upo hapo
Kwa hiyo nywele kunyolewa bila wewe kujua zimenyolewaje tayari ni uthibitisho kwamba uchawi upo?

Kwanza una ushahidi kwamba nywele zilinyolewa hivyo na si kwamba unatupiga fix tu hapa?
 
Kwa hiyo nywele kunyolewa bila wewe kujua zimenyolewaje tayari ni uthibitisho kwamba uchawi upo?

Kwanza una ushahidi kwamba nywele zilinyolewa hivyo na si kwamba unatupiga fix tu hapa?
Sina ushahidi Kivip wakati pamekuwa Para kabisa, watu waliniambia Vip hizo nywele mbona hivo kucheki hivi lahaula nikajiselfii nione palivo 😢😢
 
Kama watu wanaamini Mungu yupo
Na dini wanaziamini na dini zimewaambia uchawi upo..
Why wasiamini uchawi upo??
Imani ya dini/Mungu na imani ya uchawi kimsingi ni ile ile tu.

Imani ya supernatural powers.

Ndiyo maana mimi nazikataa zote na naelewa point yako kwamba ukiamini habari za dini/ Mungu, kupinga habari za uchawi ni vigumu.
 
Imani ya dini/Mungu na imani ya uchawi kimsingi ni ile ile tu.

Imani ya supernatural powers.

Ndiyo maana mimi nazikataa zote na naelewa point yako kwamba ukiamini habari za dini/ Mungu, kupinga habari za uchawi ni vigumu.
Binafsi naamini kitu nachokiona

Nimeshashuhudia vitu vya ajabu kweli
 
Imani ya dini/Mungu na imani ya uchawi kimsingi ni ile ile tu.

Imani ya supernatural powers.

Ndiyo maana mimi nazikataa zote na naelewa point yako kwamba ukiamini habari za dini/ Mungu, kupinga habari za uchawi ni vigumu.
Dini zote zinataka uamini bila kupinga chochote.. Dogmatic ndo msingi

Ndo maana kina Galileo waliuwawa Kwa
Kuanza kuhoji hoji mambo na kuongea tofauti na imani ilivyosema..

Ndo maana humu kuna threads watanzania wanararuana sababu ya dini
Wapo wanaoitetea Israel humu wakiamini
Wapo pamoja na Yesu hata kama Israel inaua innocents Palestinian children..wao kwao roho kwatu wakiamini waisrael ni watu wa Yesu hata kama Jewish religion yenyewe haitambui Yesu wala kumtaja
 
Dini zote zinataka uamini bila kupinga chochote.. Dogmatic ndo msingi

Ndo maana kina Galileo waliuwawa Kwa
Kuanza kuhoji hoji mambo na kuongea tofauti na imani ilivyosema..

Ndo maana humu kuna threads watanzania wanararuana sababu ya dini
Wapo wanaoitetea Israel humu wakiamini
Wapo pamoja na Yesu hata kama Israel inaua innocents Palestinian children..wao kwao roho kwatu wakiamini waisrael ni watu wa Yesu hata kama Jewish religion yenyewe haitambui Yesu wala kumtaja
Point mkuu,watu wanawatukuza waisrael wakati yesu hawamjui
 
Back
Top Bottom