jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Mungu ni nini?
Naona umeng'ang'a unaamini, unaamini, hivi unajua kama kuamini ni ujinga?
Mtu akisema naamini maana yake anasema yeye ni mjinga na yuko tayari kudanganywa.
Sasa nawaewa kama hamuamini uwepo wa Mungu pia hamtakaa muamini uchawi
Ula kwa anayeamini uwepo wa Mungu atakuwa mpumbavu asipoamini uchawi.