jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Mungu ni nini?
Naona umeng'ang'a unaamini, unaamini, hivi unajua kama kuamini ni ujinga?
Mtu akisema naamini maana yake anasema yeye ni mjinga na yuko tayari kudanganywa.
Nimekuuliza hivi, Mungu ni nini?Sasa nawaewa kama hamuamini uwepo wa Mungu pia hamtakaa muamini uchawi
Ula kwa anayeamini uwepo wa Mungu atakuwa mpumbavu asipoamini uchawi.
Mkuu kuna watu watakubishia hapa hakuna uchawi ila kwa waganga kila siku wanaendaNimeshindwa kukujuza mkuu kama nilivyokwambia mimi sio mchawi lakini naamini uchawi upo
Thibitisha uchawi upo.Mkuu kuna watu watakubishia hapa hakuna uchawi ila kwa waganga kila siku wanaenda
Vp mkuu mbona umenivamiaThibitisha uchawi upo.
Acha longolongo.
Sana tuKuna watu ni wabishi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vp mkuu mbona umenivamia🤣🤣🤣🤣
Sijakuvamia, nimekutaka uthibitishe unachoandika ni kweli na si hadithi tu.Vp mkuu mbona umenivamia
DuhSasa hizo kanuni umezijuaje?
Anazijua mtaalamu anayeshughulikia masualaSasa hizo kanuni umezijuaje?
NakubaliMkuu kuna watu watakubishia hapa hakuna uchawi ila kwa waganga kila siku wanaenda
Amejibiwa vizuri tu pengine ni tatizo la uelewa au ujuajiSiyo ubishi!
Msimchukulie mtu kuwa ni mbishi!
Mjibuni maswali yake yote kwa ufasaha ili yamkini kama atawaelewa ataweza kukubali kutiwa maji aweze kuslim au kumpokea Yesu Kristo na kumwamini mazima!
Penye wengi hapakosi kuwa na mengi! [emoji3][emoji3]
Amejibiwa vizuri tu pengine ni tatizo la uelewa au ujuaji
Ni nani huyo mtaalamu?Anazijua mtaalamu anayeshughulikia masuala
Maswali ya kitotoNi nani huyo mtaalamu?
Kama Mungu hayupo , tunaomba sababu za kitaalam kwa nini Corona ilitukwepa hapa nchini baada ya maombi na kwa nini ilipiga kambi nchi zenye madhambi ya ushoga,ubaguzi nk ?Nimekuuliza hivi, Mungu ni nini?
Hujajibu.