Lupela ya Ali Kiba kwenye MTVBASE kwa mara ya kwanza kesho

Kweli sana aysee ndo maana alichukua tuzo 5 mbele ya msanii anayeaminika kuwa ni bora Afrika hahahaa
tuzo za tz zenyewe za kinyoko ndyo maana wasanii wengi wenye akili timamu walitishia kujitoa.............hata ivo tuzo 5 za kill ni sawa na moja tu ile ya mtv aliyopewa diamond.........
 
haina shida as long as show anapata na maconnection kibao, wakati hao nyimbo zao zinazopigwa mtv show za kuungaunga
Nani mwenye show za kuunga unga kati ya kiba na hao uliowasema coz kiba show zake mwisho Kenya
 
Lupela vidio bora kuwahi kutokea barani afrika kila mtu ataiga ubunifu wake
 
tuzo za tz zenyewe za kinyoko ndyo maana wasanii wengi wenye akili timamu walitishia kujitoa.............hata ivo tuzo 5 za kill ni sawa na moja tu ile ya mtv aliyopewa diamond.........
Basi Diamond HANA AKILI TIMAMU maana hajajitoa yeye hahahaaaaa
 
tuzo za tz zenyewe za kinyoko ndyo maana wasanii wengi wenye akili timamu walitishia kujitoa.............hata ivo tuzo 5 za kill ni sawa na moja tu ile ya mtv aliyopewa diamond.........
Diamond alipochukua saba mlifuraaaah Leo mnasema siyo tuzo hahahahaaaaa "SIZITAKI MBICHI HIZI"..Hop ulikisoma kitabu hiko
 
Nipeleke majokeli huko MTV??
Labda ya kariakoo

Ha ha ha, nimeona ulipotea na nilivyoona umeibuka leo baada ya MTV kusema wataipiga nikajua umemaliza kazi.

MO11 anasema eti aliyepeleka alienda kwa miguu.
 
Kumbe ilikuwa haijaanza kuonyeshwa,walikuwa wanaifanyia SWOT Analysis nini?
 
Ha ha ha, nimeona ulipotea na nilivyoona umeibuka leo baada ya MTV kusema wataipiga nikajua umemaliza kazi.

MO11 anasema eti aliyepeleka alienda kwa miguu.
Mkuu hii aibu tuiache hapa hapa....
Itachafua jina LA Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…