bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Lupita huyu mrembo nampenda sanaaa yani ntafanya juu chini nimuoe kabisa!!na babake akisema nitumike shambani mwake miaka 7 nitamwambia hata miaka 14 si vibaya...huyu mtoto ningekua na $$ ningemfata huko huko US aliko,au nimsubirie akija likizo??