bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Haki ya Mungu tena ni tayariKweeli mzee wake akisema utumike hata miaka 20 kwa reward ya huyo bibie ni poa tyu.![emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwache Lupita wangu wewe ,koma kabisahana uzuri wowote
Bint wa majirani zetu wa KaskaziniMtoto wa wapi huyo?
Maana koromije hatumfaham
Beauty lies in the eye of the _______ ,malizia dash hiyo dadaMi sio mzuri ila Lupita hana huo uzuri unaosema. Tena hapo anaishi kistaa yuko hivyo angekua anaganga njaa kama sisi huku bongo hata ungemkuta njian usingemsalimia
unaeza kua sahh bt the gal she z so natural despite being a star which makes her so beutifully,,hakuna wadada wa tz wenye hela wakaish naturalMi sio mzuri ila Lupita hana huo uzuri unaosema. Tena hapo anaishi kistaa yuko hivyo angekua anaganga njaa kama sisi huku bongo hata ungemkuta njian usingemsalimia
Beerholder [emoji12] [emoji12]Beauty lies in the eye of the _______ ,malizia dash hiyo dada
You're right.unaeza kua sahh bt the gal she z so natural despite being a star which makes her so beutifully,,hakuna wadada wa tz wenye hela wakaish natural
Ninao wawili tubadilishane[emoji14] [emoji14] [emoji14]Mimi kaka yake na sijaoa una dada
Ni pm namba zao nichagueNinao wawili tubadilishane[emoji14] [emoji14] [emoji14]
Najua wengi watachukulia uzuri wa muonekano kwa sura na mavazi ila ukubari ukatae uyu dada anakitu cha ziada kichwani kwake na ndo sababu ya haya yote,UKO SAWA KUMPENDALupita huyu mrembo nampenda sanaaa yani ntafanya juu chini nimuoe kabisa!!na babake akisema nitumike shambani mwake miaka 7 nitamwambia hata miaka 14 si vibaya...huyu mtoto ningekua na $$ ningemfata huko huko US aliko,au nimsubirie akija likizo??