Kwa hiyo ni mzuri dunia nzima? ???
Au wametumia vigezo ganiiii
ndio wenyewe ndo wanasema kuwa huyo zombie kijicho ndo mwanamke mzuri zaidi duniani kwa kutumia kigezo cha ngozi yake yani ana uzuri asilia na ana ngozi asilia
Watanzania mna wivu sana...hivi huyu munaweza mkamfananisha na dem gani kutoka tanzania ambaye anaweza kutia mguu kwa huyu cute( ondoa flavian matata, jokate kidoti na dame wangu) lakini waliobaki wate wana sura za bibi zao kwa kuendekeza kupaka mamichubuo...aibu iwe juu yenu wote munaosema ni mbaya wakati mnakubali...
Excuse me. Unazungumzia watanzania wote ama?
ndio wote na we ukiwa mmoja wao( kama ni dame)
Ila kweli labda mi sioni vizuriii wallah
rangi kweli,uzuri wametudanganya
Watanzania mna wivu sana...hivi huyu munaweza mkamfananisha na dem gani kutoka tanzania ambaye anaweza kutia mguu kwa huyu cute( ondoa flavian matata, jokate kidoti na dame wangu) lakini waliobaki wate wana sura za bibi zao kwa kuendekeza kupaka mamichubuo...aibu iwe juu yenu wote munaosema ni mbaya wakati mnakubali...
ndio wenyewe ndo wanasema kuwa huyo zombie kijicho ndo mwanamke mzuri zaidi duniani kwa kutumia kigezo cha ngozi yake yani ana uzuri asilia na ana ngozi asilia
Angalia kwa nguvu atakuvutia!hanivutii kabisa huyu dada au macho yangu mabovu stunna?!
ha ha haaa stuna ha2ngalii urembo 2naangalia uzuri wa asili@TBC ya waremboAngekuwa mweupe mngemsifia mzuri
Lupita ni umaarufu ndio unamfanya a-shine ila kama ni uzuri, hapana she is highly overrated. Ukienda IFM ukakaa kwenye vimbweta pale ndani ya nusu saa tu utanona vifaa vya hatari pale, tatizo havishinda tu Oscar
Asa we unadhani kuwa nominated Oscar ni ka bongo muvie Au?!
After all wakat wanachagua who ti be Oscar nominees they dont look for physical appearance ya mtu...
Mcheki whopie afu sema kashakuwa nominated mara ngap kwenye Oscar.....
makubwa.....Huyu nae angetengeneza nyonyo, mwanamke nyonyo ijae ijae ndio maana humvutii yusuph Isaa