LUPITA NYONG'O - Msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi Afrika, Bongo nani wa kututoa kimasomaso na sisi?

LUPITA NYONG'O - Msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi Afrika, Bongo nani wa kututoa kimasomaso na sisi?

AVO28

Senior Member
Joined
Jan 4, 2018
Posts
140
Reaction score
240

Naam Lupita nyong'o kutoka hapo juu tu paitwapo kenya ndiye mcheza filamu anayelipwa pesa nyingi zaidi kutokea upande huu wa East of afrika, na hakika hakuna anayeweza kupinga kua huyu dada anajua ku act plus na kingereza nacho kinamuhakikishia maisha mazuri huko hollywood,

Swali langu ni kwa hapa bongo nani anaweza kututoa kimasomaso na sisi atupeleke huko hollywood? au ni lini bongo movie yetu itaweza kutusua hata mpaka hapo West of Africa (Nigeria) tu? kama wanavyofanya vijana wetu wachapakazi wa Bongo Fleva wakiongozwa na wasanii machachari sana yani Diamond na Alikiba.
 
Sio lazima kila kitu awepo wa kututoa kimasomaso hata kama hawapo wenye sifa
 
Japo tunakipenda kiswahili chetu, lakini kiingereza kitabaki kuwa the best. Mtoto wangu acha tu akijue sana, huo uzalendo wa kukithamini na kukipenda kiswahili utakuja baadae akipenda mwenyewe. Ila mimi nataka akijue kingereza kwanza. Fursa zipo nyingi akikijua. Kujua kingereza kutahitaji juhudi baadae, ila akihitaji kujua kiswahili, wala hahitaji juhudi kubwa, labda kama anataka kukijua kiundani na kuwa kama ONI SIGALA wa Clouds. Lakini hiki cha kawaida, anakijua fasta tu.

Kizungu kwanza aisee...!!!
 
Hii movie ya Black Panther imempa ujiko sana Marekani. Kuanzia sasa atatengeneza pesa ndefu sana na pia Waamerika weusi baada ya hii picha inaelekea wamemkubali sana na kuanza kuonekana naye katika shughuli mbali mbali za watu weusi (celebrities) wa Hollywood katika sherehe na mikusanyiko mbali mbali. Pia huyu bi dada hanaga makidai ni mtu simple sana. Elimu yake na pia good upbringing itamsaidia sana kwenye profession yake. BIG UP LUPITA NYONG'O


Naam Lupita nyong'o kutoka hapo juu tu paitwapo kenya ndiye mcheza filamu anayelipwa pesa nyingi zaidi kutokea upande huu wa East of afrika, na hakika hakuna anayeweza kupinga kua huyu dada anajua ku act plus na kingereza nacho kinamuhakikishia maisha mazuri huko hollywood,

Swali langu ni kwa hapa bongo nani anaweza kututoa kimasomaso na sisi atupeleke huko hollywood? au ni lini bongo movie yetu itaweza kutusua hata mpaka hapo West of Africa (Nigeria) tu? kama wanavyofanya vijana wetu wachapakazi wa Bongo Fleva wakiongozwa na wasanii machachari sana yani Diamond na Alikiba.
 
Back
Top Bottom