LUPITA NYONG'O - Msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi Afrika, Bongo nani wa kututoa kimasomaso na sisi?

LUPITA NYONG'O - Msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi Afrika, Bongo nani wa kututoa kimasomaso na sisi?

Sisi huku tunaangalia kalio,hips ,weupe na sura,kipaji sio muhimu kwani tutaelekezana mbele ya safari,ila ukiwa navyo hivyo umeshafuzu.Yule Lupita na yule general wa Wakanda wangekuwa bongo wangeambiwa watafute kazi nyingine ya kufanya,kwani vipaji wanavyo ila vile vigezo vya kalio,hips,weupe na sura hawana.Sisi watanzania sehemu nyingi tunaendaga vice versa na ndio maana kuja kumuona mbongo hollywood kwa hivi vigezo vyetu sizani kama tuweza na siku hizi bongo movie upande wa wanaume wanachukua mashombe shombe,wauma lips ,hawaangalii sana vipaji.Ndio maana sanaa ya bongo inakosa ubunifu sababu haina watu wenye vipaji halisi,tutaendelea kumark time tu hapa hapa bongo.Mimi naonaga bora commedy za kibongo zina watu wenye vipaji lkn hizi tamthilia zimekosa mvuto (mfano siri za familia ,mishepu imejaa kibao utafikiri wanatafuta miss bantu).
 
Huwa unakumbuka nini? hahahahahahaha lol! umenikumbusha mtu humu aliwahi kuandika akiona kwapa la mwanamke ambalo halijanyolewa basi hupandisha mzuka.
Kaka bhana.
Ila mda mwingine kuna maumbile mengine ukiyatazama, unaweza dhani ni sehemu ghafi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Unamuongelea mtu mwenye degree ya uigizaji kutoka Yale University kama sikosei
 

Naam Lupita nyong'o kutoka hapo juu tu paitwapo kenya ndiye mcheza filamu anayelipwa pesa nyingi zaidi kutokea upande huu wa East of afrika, na hakika hakuna anayeweza kupinga kua huyu dada anajua ku act plus na kingereza nacho kinamuhakikishia maisha mazuri huko hollywood,

Swali langu ni kwa hapa bongo nani anaweza kututoa kimasomaso na sisi atupeleke huko hollywood? au ni lini bongo movie yetu itaweza kutusua hata mpaka hapo West of Africa (Nigeria) tu? kama wanavyofanya vijana wetu wachapakazi wa Bongo Fleva wakiongozwa na wasanii machachari sana yani Diamond na Alikiba.
Kwanini awe mwingine badala ya huyo mtu kuwa wewe?

Tatizo hapa ni kila mtu anasubiri mwingine ndo afanye badala ya mtendaji kuwa yeye mwenyewe
 
Hii movie ya Black Panther imempa ujiko sana Marekani. Kuanzia sasa atatengeneza pesa ndefu sana na pia Waamerika weusi baada ya hii picha inaelekea wamemkubali sana na kuanza kuonekana naye katika shughuli mbali mbali za watu weusi (celebrities) wa Hollywood katika sherehe na mikusanyiko mbali mbali. Pia huyu bi dada hanaga makidai ni mtu simple sana. Elimu yake na pia good upbringing itamsaidia sana kwenye profession yake. BIG UP LUPITA NYONG'O

Unajua lakini ni kwamba anayo Oscar? hayo masula ua good upbringing sio ishu in Hollywood , wote wachafu humo,kilicho mtoa Lupita ni bahati, ,alisoma chuo bora na ku pata connection ya kufanya field kwnye movie set kama assistant toka hapo akaanzia chini kabisa kwnye theater acting . Kilicho mwokoa ni muda muafaka wa ile movie 12 years a slave ,ambapo, Hollywood elites wali ona sababu za kumpa mwafrica Award, kwa mtiamo wa wengi hakua the best actress kivile KWENYE HIYO movie ila tuu politics zilitumika
 
Sisi huku tunaangalia kalio,hips ,weupe na sura,kipaji sio muhimu kwani tutaelekezana mbele ya safari,ila ukiwa navyo hivyo umeshafuzu.Yule Lupita na yule general wa Wakanda wangekuwa bongo wangeambiwa watafute kazi nyingine ya kufanya,kwani vipaji wanavyo ila vile vigezo vya kalio,hips,weupe na sura hawana.Sisi watanzania sehemu nyingi tunaendaga vice versa na ndio maana kuja kumuona mbongo hollywood kwa hivi vigezo vyetu sizani kama tuweza na siku hizi bongo movie upande wa wanaume wanachukua mashombe shombe,wauma lips ,hawaangalii sana vipaji.Ndio maana sanaa ya bongo inakosa ubunifu sababu haina watu wenye vipaji halisi,tutaendelea kumark time tu hapa hapa bongo.Mimi naonaga bora commedy za kibongo zina watu wenye vipaji lkn hizi tamthilia zimekosa mvuto (mfano siri ya familia ,mishepu imejaa kibao utafikiri wanatafuta miss bantu).
Hata huko America, ukija kwa masuala ya weusi bado light skinned people wanapata nafasi zaidi ya watu walio na muonekano wa Lupita , wote kina Beyonce Rhyhana na wengine , weupe wao una wasaidia ku market biashara zao .
 

Naam Lupita nyong'o kutoka hapo juu tu paitwapo kenya ndiye mcheza filamu anayelipwa pesa nyingi zaidi kutokea upande huu wa East of afrika, na hakika hakuna anayeweza kupinga kua huyu dada anajua ku act plus na kingereza nacho kinamuhakikishia maisha mazuri huko hollywood,

Swali langu ni kwa hapa bongo nani anaweza kututoa kimasomaso na sisi atupeleke huko hollywood? au ni lini bongo movie yetu itaweza kutusua hata mpaka hapo West of Africa (Nigeria) tu? kama wanavyofanya vijana wetu wachapakazi wa Bongo Fleva wakiongozwa na wasanii machachari sana yani Diamond na Alikiba.

Wema sepetu anakula mkwanja mrefu zaidi mbona
 
Back
Top Bottom