LUPITA NYONG'O - Msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi Afrika, Bongo nani wa kututoa kimasomaso na sisi?

LUPITA NYONG'O - Msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi Afrika, Bongo nani wa kututoa kimasomaso na sisi?

Hata huko America, ukija kwa masuala ya weusi bado light skinned people wanapata nafasi zaidi ya watu walio na muonekano wa Lupita , wote kina Beyonce Rhyhana na wengine , weupe wao una wasaidia ku market biashara zao .
Umeongea ukweli mkuu!...watu wanafikiri wakina Beyonce, Michael Jackson wanajichubua kwa kupenda? La hasha, ni yale maubaguzi tu unakuta mtu unadata....

Kuna girls group walikuwa wanajiita 3T, wako watatu hao wadada, sasa mmojawapo akawa ni mweusi hivi kama Lupita, wee fasta walimwambia ajikwatue au watamdismiss kwenye group lao!
 
Wazazi wake waliwekeza kwenye elimu yake, usione vyaelea viliundwa
Kuigiza ni Talent tu mama, sio kila kitu usingizie Elimu. Wanyama nae utasema wazazi waliwekeza kwenye Elimu? Na Samata Je? Hata hapa kwetu vipaji hivyo vipo, sema malengo ya waigizaji wenyewe na kuzichangamkia fursa tumekua wazembe sana. Wapo watu wanaelimu lkn malengo na pengina anaridhika na hicho kidogo anachopata ndo tatizo kubwa, tumeona kwenye Football, Music na hata Maigizo pia.
 
Kuigiza ni Talent tu mama, sio kila kitu usingizie Elimu. Wanyama nae utasema wazazi waliwekeza kwenye Elimu? Na Samata Je? Hata hapa kwetu vipaji hivyo vipo, sema malengo ya waigizaji wenyewe na kuzichangamkia fursa tumekua wazembe sana. Wapo watu wanaelimu lkn malengo na pengina anaridhika na hicho kidogo anachopata ndo tatizo kubwa, tumeona kwenye Football, Music na hata Maigizo pia.
Ni kweli usemayo lakini wazazi wake walihakikisha anajua lionhearted Kispanish vizuri, Kiingereza na Kiswahili
Pia amefanya first degree ya filming and theatre hakwenda Hollywood kwa bahati
 
Umeonangalau gea ukweli mkuu!...watu wanafikiri wakina Beyonce, Michael Jackson wanajichubua kwa kupenda? La hasha, ni yale maubaguzi tu unakuta mtu unadata....

Kuna girls group walikuwa wanajiita 3T, wako watatu hao wadada, sasa mmojawapo akawa ni mweusi hivi kama Lupita, wee fasta walimwambia ajikwatue au watamdismiss kwenye group lao!
Kwa mara ya kwanza naona unaandika zaidi ya mistari 3!! Mtoto mvivu wewe!!

Mwingine ni Mrs Van!!

Mrs Avan ndo Kubwa la Maadui manake post yake ndefu kabisa inakuwa na maneno 5!!
 
AVO28 mbona unawaonea Bongo Movie kujaribu kuwaweka mizania moja na Lupita?

Lupita aliyepitia moja ya best drama schools in US awe mizania moja na watu wanaotegemea talent peke yake huku wakiongozwa na directors ambao u-director wao nao ni wa kiujanja ujanja tu!

Anyway, ipo cku! Wapo akina Ernest kwenye indie film... I hope it's a matter of time nae atakuja kupata nafasi kubwa!! Hapo pia kuna Idris... usishangae nae cku moja ukamsikia as Hollywood A-List!
 
nasikia ni mtoto wa muheshimiwa fulani wa huko Kenya??
 
Sisi huku tunaangalia kalio,hips ,weupe na sura,kipaji sio muhimu kwani tutaelekezana mbele ya safari,ila ukiwa navyo hivyo umeshafuzu.Yule Lupita na yule general wa Wakanda wangekuwa bongo wangeambiwa watafute kazi nyingine ya kufanya,kwani vipaji wanavyo ila vile vigezo vya kalio,hips,weupe na sura hawana.Sisi watanzania sehemu nyingi tunaendaga vice versa na ndio maana kuja kumuona mbongo hollywood kwa hivi vigezo vyetu sizani kama tuweza na siku hizi bongo movie upande wa wanaume wanachukua mashombe shombe,wauma lips ,hawaangalii sana vipaji.Ndio maana sanaa ya bongo inakosa ubunifu sababu haina watu wenye vipaji halisi,tutaendelea kumark time tu hapa hapa bongo.Mimi naonaga bora commedy za kibongo zina watu wenye vipaji lkn hizi tamthilia zimekosa mvuto (mfano siri ya familia ,mishepu imejaa kibao utafikiri wanatafuta miss bantu).
Mkuu umemaliza, ilitakiwa kwenye huu uzi iwepo hii comment moja tu bas zngne porojo tu.
 
Hasheem Thabeet alikuwa kashatutoa Kimasomaso,Sema Tatizo letu waTanzania sifa za KIJINGA ona sasa anapambana na hali yake BILIONI NNE ALIZOKUWA ANALIPWA ZIMEYEYUKA.
 
We mseng.e nini?
Nimekuuliza wewe?
Acha shobo zako.
Empty set baba yako mzazi.
Kuonyesha mapungufu uliyo nayo kichwani kwenye uma wa watu yaweza kuwa si makosa yako bali ya m....... Empty Set kabisa
 
Kuonyesha mapungufu uliyo nayo kichwani kwenye uma wa watu yaweza kuwa si makosa yako bali ya m....... Empty Set kabisa
Hata kama yakiwa ya M wangu, hayakuhusu.
Nawewe si una M, mwambie akurithishe, au mshazika?
Yaani wanaume wengine mnakuwa kama macchoko tena mahanithi msiotahiriwa jandoni.
Hv wewe unashoboka na mimi unadhani nitakuachia eti kisa uma wa watu?
Qumma mako, nini uma....hata ingekuwa kijiko poa tu.
Unadhani nitaogopa kukujibu panya mmoja wewe kisa uma wa humu?
Kuna mtu ananilisha humu K wewe?
Mmeshaambiwa tangu jana....acheni kushobokea shobokea comment za watu
Mtazalishwa bila shahawa.
Ulitumwa uni-quote?
Ukajua nitakuachia au.

Mbona wengine wamepita kimya...ila wewe ukasimamisha mapumbbu yako jukwaani ku-comment.
Na ulichokitafuta ushakipata
Na Mimi nina uume kama wako....nichezee nikutie mimba.
Usidhani akina Madame wote humu ni wanawake.

Panya buku we!!
 
Hata kama yakiwa ya M wangu, hayakuhusu.
Nawewe si una M, mwambie akurithishe, au mshazika?
Yaani wanaume wengine mnakuwa kama macchoko tena mahanithi msiotahiriwa jandoni.
Hv wewe unashoboka na mimi unadhani nitakuachia eti kisa uma wa watu?
Qumma mako, nini uma....hata ingekuwa kijiko poa tu.
Unadhani nitaogopa kukujibu panya mmoja wewe kisa uma wa humu?
Kuna mtu ananilisha humu K wewe?
Mmeshaambiwa tangu jana....acheni kushobokea shobokea comment za watu
Mtazalishwa bila shahawa.
Ulitumwa uni-quote?
Ukajua nitakuachia au.

Mbona wengine wamepita kimya...ila wewe ukasimamisha mapumbbu yako jukwaani ku-comment.
Na ulichokitafuta ushakipata
Na Mimi nina uume kama wako....nichezee nikutie mimba.
Usidhani akina Madame wote humu ni wanawake.

Panya buku we!!
Sawa dume jike
 
Huwa unakumbuka nini? hahahahahahaha lol! umenikumbusha mtu humu aliwahi kuandika akiona kwapa la mwanamke ambalo halijanyolewa basi hupandisha mzuka.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] dah
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom