Mkuu kuna binadamu wa baya sana, eti wanamfananisha Lupita na Bongo movie wale wa "come babe nimekumiss sana".Huyu m Mexico ananimaliza sana mapigo yake. Akifungua mdomo kuongea utajua kasoma Yale kweli, sio kapita tu shule.
Mkenya kazaliwa Mexico . Amesoma Marekani.zamani nilijua ana uraia wa Marekani.
Huyu dada yuko sawa sana upstairs, sijawahi kumsikiliza halafu nikaona kachemka.Mkuu kuna binadamu wa baya sana, eti wanamfananisha Lupita na Bongo movie wale wa "come babe nimekumiss sana".
Huyu dada yuko sawa sana upstairs, sijawahi kumsikiliza halafu nikaona kachemka.
Hawa ni watu fulani mtu akikwambia huyu kasoma Ivy League hata huwezi kutia shaka.
Zile acceptance speeches zake akipata awards mpaka raha kumsikiliza.
Hapa alikuwa anapata Oscar for supporting actress.
Mtu akisema huyu kasoma drama Yale, unakubali.
Kuna mtu anayeishi bila mmea?Na mmea una husika, tafadhali usibishe.
wanajua movie ni kujipodoa. kumbe mambo yanayozungumzwa yanasehemu kubwa sana. kuna muigizaji anaitwa Irene Paul, anajitahidi sana kuwa na point anapoongea.Mkuu kuna binadamu wa baya sana, eti wanamfananisha Lupita na Bongo movie wale wa "come babe nimekumiss sana".
wanajua movie ni kujipodoa. kumbe mambo yanayozungumzwa yanasehemu kubwa sana. kuna muigizaji anaitwa Irene Paul, anajitahidi sana kuwa na point anapoongea.
Dahhh u sound like mahater wa Instagram. Sasa kama kuna watu walihit n run kunafuta vipi uspecial wake?Why awe 'luckiest man alive'?
sababu ya umaarufu?
alikuwa kidem cha kawaida sana juzi juzi tu wakati anaigiza Suga ..series ya MTVbase
nna hisi wapo walio hit n run kipindi hiko...
mtu kuwa maarugu hakumfanyi awe 'special'
inawezekana kuna kidume huko Nairobi hakipokei simu zake vile vile
Word!!Dahhh u sound like mahater wa Instagram. Sasa kama kuna watu walihit n run kunafuta vipi uspecial wake?
Unasema alikuwa ' kidem cha kawaida' juzi juzi, kumbe unajua kuwa sasa hivi sio wa kawaida eee? Ndo u-special huo sasa!
Dahhh u sound like mahater wa Instagram. Sasa kama kuna watu walihit n run kunafuta vipi uspecial wake?
Unasema alikuwa ' kidem cha kawaida' juzi juzi, kumbe unajua kuwa sasa hivi sio wa kawaida eee? Ndo u-special huo sasa!
Uko sawa kabisa nakumbuka Kuna baadhi ya vipengele ilinilazimu niforward kwakua ilikua inaonyesha kama walivyo zaliwa,kiukweli kwa ujasiri ule acha tu ajisuuze moyo japo kwa tuzo hiyo aliyopataalibanduliwa mle ktk ile muvi, afu kila saa...
Movie gani hiyo?Uko sawa kabisa nakumbuka Kuna baadhi ya vipengele ilinilazimu niforward kwakua ilikua inaonyesha kama walivyo zaliwa,kiukweli kwa ujasiri ule acha tu ajisuuze moyo japo kwa tuzo hiyo aliyopata
Kwani mkuu wanabanduana kweli?alibanduliwa mle ktk ile muvi, afu kila saa...