Muigizaji na mshindi wa tuzo ya oscar, lupita nyong'o, hvi karibuni amepata shavu jingine kubwa ambapo sura yake itaonekana kwenye jarida maarufu nchini marekani linalodeal na mambo ya fashion na urembo liitwalo VOGUE magazine, jarida hilo maarufu ulimwenguni ambapo mastaa mbali mbali duniani wameonekana kwenye jarida hlo, mastaa kama BEYONCE, RIHANNA, ADELE, KIM KARDASHIAN na wengine wengiView attachment 400918
Muigizaji na mshindi wa tuzo ya oscar, lupita nyong'o, hvi karibuni amepata shavu jingine kubwa ambapo sura yake itaonekana kwenye jarida maarufu nchini marekani linalodeal na mambo ya fashion na urembo liitwalo VOGUE magazine, jarida hilo maarufu ulimwenguni ambapo mastaa mbali mbali duniani wameonekana kwenye jarida hlo, mastaa kama BEYONCE, RIHANNA, ADELE, KIM KARDASHIAN na wengine wengiView attachment 400918
Mkuu Lupita ana BA in Films and Theatre Studies, Masters in programming and acting, anaongea Spanish, English na Kiswahili kwa umahiri, alianza kuigiza Hollywood kabla ya Suga 2009. Sasa ni Waafrika wangapi wamefika hapo kwa umri wake, kwenye sifa mpeni sifa zake.Huku kwetu Tanzania KING MAJUTO anafanya tu Matangazo ya kudondoka dondoka kutoka Kitandani hadi Sakafuni huku akinywa Chai ya Ivory na kuishia tu kupelekeshwa na " kinchechede " chake cha Tegeta Nyuki na kutuacha na kicheko chake " uza " cha hi hi hi hi hi hi hi hi hi............!
Mkuu Lupita ana BA in Films and Theatre Studies, anaongea Spanish, English na Kiswahili kwa umahiri, alianza kuigiza Hollywood kabla ya Suga 2009. Sasa ni Waafrika wangapi wamefika hapo kwa umri wake, kwenye sifa mpeni sifa zake.
Maana yangu ni kuwa binti yuko level nyingine mkuu si kama bongo movie wetu.Ama " hujanielewa " au " sijakuelewa " pitia tena post yangu tafadhali.
Maana yangu ni kuwa binti yuko level nyingine mkuu si kama bongo movie wetu.
Sasa mkuu ulitaka mzee majuto apate tuzo ya oscar?Huku kwetu Tanzania KING MAJUTO anafanya tu Matangazo ya kudondoka dondoka kutoka Kitandani hadi Sakafuni huku akinywa Chai ya Ivory na kuishia tu kupelekeshwa na " kinchechede " chake cha Tegeta Nyuki na kutuacha na kicheko chake " uza " cha hi hi hi hi hi hi hi hi hi............!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Alikuaga house girl wa zari
Yes, lupita ako na CV matata, halafu namkubali hana maringo Yule Dada hata kidogo, ila wangekua akina mwafulani hapa mmh tungehama jf akina warumiMkuu Lupita ana BA in Films and Theatre Studies, Masters in programming and acting, anaongea Spanish, English na Kiswahili kwa umahiri, alianza kuigiza Hollywood kabla ya Suga 2009. Sasa ni Waafrika wangapi wamefika hapo kwa umri wake, kwenye sifa mpeni sifa zake.
Gugo utapata majibu ya maswali yako yote, internet unayo kinachokushinda kutafuta habari zake nn!kwani huyu dada aliigiza movie gani
na akashinda hio oscar category ipi?
yani kwa kifupi namuona ona tu insta nasikia ni muigizaji..
sielewi katoka wapi na anafanya nini???
afu sometimes naona kama anakua overrated...
anaemjua anijuze tafadhali
Sasa mkuu ulitaka mzee majuto apate tuzo ya oscar?
Ni mkenya huyo, Kuna muvi alicheza mwaka juzi huko marekani inaitwa kama sikosei inaitwa slave na ilivuma Sana, jaribu kutafuta hiyo muvi,ndo ilimpa tuzokwani huyu dada aliigiza movie gani
na akashinda hio oscar category ipi?
yani kwa kifupi namuona ona tu insta nasikia ni muigizaji..
sielewi katoka wapi na anafanya nini???
afu sometimes naona kama anakua overrated...
anaemjua anijuze tafadhali