TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Huyo wa CCM si ndiye yule tapeli aliyedai kutengeneza dawa ya Corona?
Hata Mimi Ndugu yangu mwanaccm . Acha democracy ichukue nafasi yake !Mgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa.Kwanza naomba kudeclare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati,naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani,
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
CCM haitakiwi sehemu nyingi ukiacha zile za waswahiliMgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa.Kwanza naomba kudeclare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati,naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani,
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
CCM haitakiwi sehemu nyingi ukiacha zile za waswahili
2015 walimuua kijana mdogo Mohammad Mtoi ...damu yake bado inawadaiMgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa.Kwanza naomba ku-declare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati, naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani.
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
Ngumu kuaminiNtwala sorry Mtwara na Lindi wapo waswahili kibao lakini this time mambo yamebadilika.
Lissu kafungua watu akili.Mgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa.Kwanza naomba ku-declare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati, naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani.
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
Muheza mwana Fa kashikwa nyeti na mtoto wa kike,kambi ya adadi wamenuna chama kimegawanyikaTuambie na Mheza
Chaga-dema hampati kituMgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa. Kwanza naomba ku-declare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati, naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani.
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
Chama Cha Matusi, tukaneni tu.Huyo wa CCM si ndiye yule tapeli aliyedai kutengeneza dawa ya Corona?
Huo ni ujinga tunataka kuwa sereous na maswala muhimu siyo cheap politics,tunahitaji kupambania ccm kwa weledi hapa lushotoChaga-dema hampati kitu
Muheza mwana Fa kashikwa nyeti na mtoto wa kike,kambi ya adadi wamenuna chama kimegawanyika
Katoto hakana adabu kabisa hakaView attachment 1601953
Hako hapo juu, kanamjambisha MwanaFA sasa hivi huku kwetu Muheza tunamwita MwanaKULITAFUTA, MwanaKULIPATA!!
Nimekakubali sana haka katoto!Katoto hakana adabu kabisa haka
Kaweke tu namba ya simu hapa tukachangie kampige MwanaKulitafutaKatoto hakana adabu kabisa haka
Kabisa aisee kako vizuriNimekakubali sana haka katoto!