Lusinde Hajui kuna Tanganyika. Too much kwa nafasi ya ubunge!

Lusinde Hajui kuna Tanganyika. Too much kwa nafasi ya ubunge!

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925
download.jpg livingstone-lusinde.jpg

Katika rasimu ya katiba mpya, mswada unapendekeza elimu ya kiwango cha kuanza mtu kutafuta nafasi ya ubunge walao iwe elimu ya sekondari. Naridhika na kiwango hicho maana elimu ya sekondari Tanzania inatalii mengi ya muhimu katika kuijua Tanzania na ulimwengu.

Livingstone Lusinde ambaye ni mbunge wa bunge la Muungano na la katiba, akiwa Dodoma katika vikao vya katiba kama mjumbe amethubutu kusema hakubali kuzaliwa kwa Tanganyika. Kwa maneno mengine mpaka leo Mbunge huyu hajui kama Bara ni Tanganyika ambayo inaitwa Tanzania inapokuwa Jamhuri ya Muungano na visiwani.

Simshagai kwa vile kiwango cha elimu ya msingi alicho nacho vigumu mno kuelewa hata historia ya nchi yetu. Jambo la kushangaza Mbunge anapoongelea na kufikiria dhana ya kuzaliwa Tanganyika leo wakati taifa hilo lilishakuwepo zaidi ya karne mbili zilizopita.
 
hueleweki tanzania ndo tanganyika?bunge lake liko wap
 
Livingstone Lusinde ambaye
Simshagai kwa vile kiwango cha elimu ya msingi alicho nacho vigumu mno kuelewa hata historia ya nchi yetu. Jambo la kushangaza Mbunge anapoongelea na kufikiria dhana ya kuzaliwa Tanganyika leo wakati taifa hilo lilishakuwepo zaidi ya karne mbili zilizopita

Sio hana elimu ya kutosha hata akili zake sio timamu, hatambui uwepo wa Tanganyika lakin anaitambua Tanzania!! Nisawa na kumfaham baba yako na kutofaham uwepo wa baba yake na baba yako yaani shina=babu=asili.

Huyu Lusinde hajitambui na anachokifanya nikutapika anachopewa baada ya kumeza bila kujuwa alicholishwa kinamadharagani kwake mwneyewe, taifa la leo na pia vizazi vyetu hapo baadaye.
 
mi pia nilimshangaa ikanibid nimuulize mdogo wangu wa darasa la 5 kama anaijua tanganyika,akanijibu vizur tu kuwa, "Tanganyika ni nchi iliyoungana na Zanzibar kuunda Tanzania".Yan kiukweli huyu Lusinde anashindwa akili na mtoto wa darasa la 5
 
Sio hana elimu ya kutosha hata akili zake sio timamu, hatambui uwepo wa Tanganyika lakin anaitambua Tanzania!! Nisawa na kumfaham baba yako na kutofaham uwepo wa baba yake na baba yako yaani shina=babu=asili.

Huyu Lusinde hajitambui na anachokifanya nikutapika anachopewa baada ya kumeza bila kujuwa alicholishwa kinamadharagani kwake mwneyewe, taifa la leo na pia vizazi vyetu hapo baadaye.

Kama ule usemi kwamba "debe tupu halikosi kutoa mvumo" ndio hali halisi ya huyu mbunge. Ingawa nimetumia hapa lugha kali kidogo hii ni kutokana na kiwango chake alichoonyesha to lack all depth, huyu ndiye mtunga sheria za nchi asiyejua hata historia ya nchi yetu ingawa kuna njia nyingi siku hizi za kujielimisha yeye ni kama vuvuzela tu la kupuliza kwa upepo na kutoa mvumo wa sauti.
 
mi pia nilimshangaa ikanibid nimuulize mdogo wangu wa darasa la 5 kama anaijua tanganyika,akanijibu vizur tu kuwa, "Tanganyika ni nchi iliyoungana na Zanzibar kuunda Tanzania".Yan kiukweli huyu Lusinde anashindwa akili na mtoto wa darasa la 5

Hapo sasa, hata uelewa wa hisitora na nchi yetu mtoto wa darasa la tano anaelewa kuliko mbunge wetu Lusinde, haya ndiyo wanayokimbia debate kipindi cha kampeni za uchaguzi wasiadhirike.
 
Ni mtanganyika MWENDAWAZIMU pekee atakaye kubali kujiita MTANZANIA BARA!Hasa wakati huu ambao Zanzibar imejipambanua na kujiita nchi kamili!

Kwanza atuambie hiyo nchi IPO wapi,ni nani aliipa jina hilo,na ni nani architect wa hilo jina!

Kurudi kwa TANGANYIKA, hakuepukiki!!
 
Ni mtanganyika MWENDAWAZIMU pekee atakaye kubali kujiita MTANZANIA BARA!Hasa wakati huu ambao Zanzibar imejipambanua na kujiita nchi kamili!

Kwanza atuambie hiyo nchi IPO wapi,ni nani aliipa jina hilo,na ni nani architect wa hilo jina!

Kurudi kwa TANGANYIKA, hakuepukiki!!

Angekuwa anaongelea kuhusu madai ya wananchi kurejeshwa kwa hadhi ya taifa la Tanganyika angeleweka kwa vile Taifa limekuwepo miaka mingi kabla ya uhuru ambao chini ya koloni ya Mjerumani na Mwingereza ilikuwa ni Tanganyika, lao huyu anakuja bila aibu kutamka kuzaliwa kwa taifa la Tanganyika, nadhani waliompitisha katika nafasi aliyo nayo awanaaibika anavyowaumbua asivyo na uelewa pengine kupungukiwa na kitu fulani kisicho cha kawaida.
 
Lusinde kajazwa fikra Mgando na maccm yasiyowatakia mema watanganyika. Ni sawa na mtoto mpumbaavu anayemtambua baba yake na kumkana mama yake aliyemzaa kwa kutojua kuwa mama ndiye ajuae baba wa mtoto. stupid LUSINDE
 
Wabunge engine hawakustahili kuwepo bungeni. Kama hujui unapotoka, hutajua unakokwenda.
 
Lusinde na wengine wengi wanalinajisi bunge na hakuna chochote wanachofanya kwa manufaa ya taifa zaidi ya kukomba posho na kubwabwanya matusi pekee.
 
Lusinde na wengine wengi wanalinajisi bunge na hakuna chochote wanachofanya kwa manufaa ya taifa zaidi ya kukomba posho na kubwabwanya matusi pekee.


Mimi naitathimini miundombinu ya ccm kwa kweli sion uhai wowote ndani ya chama hiki kikongwe.

Sikutrajia kama hata maprofesa kutojitambua hainingii akilini

-profesa magembe kutoa mchango wa hovyo kulinganisha na taaluma yake

-profesa Tibaijuka kwa mchango wa hovyo tofauti na taaluma yake

Nadhani hii ya "Lusinde" na mipasho, kutojitambua na michango ya hao maprofesa kwa pamoja vinalengo moja tu-kupotosha umma kwa maslahi ya leo, cha ajabu wanapoangalia leo, Katiba inaangalia maisha ya wajukuu na vitukuu vyao....

Je kwa mantiki hii ya uchangiaji wa kupotosha tunalipeleka wapi taifa letu? Tunaandika historiagani? Yaani hata maprofesa wanakosa weledi wa kuusema ukweli? Hakika ccm hailitendei haki taifa na haiutendei haki umma kwa ujumla wake zaidi ya kutufedhehesha ndani , kwa majiran zetu na hata mataifa ya mbali yanatuona kituko.
 
Hapo sasa, hata uelewa wa hisitora na nchi yetu mtoto wa darasa la tano anaelewa kuliko mbunge wetu Lusinde, haya ndiyo wanayokimbia debate kipindi cha kampeni za uchaguzi wasiadhirike.
meona eeh,wanaogopa kudhalilika kwenye debate mana hawana wanalolijua,kama historia ya nchi yao tu hawajui mengine watayajuaje?mi nawasiwasi huyu alisoma nursery school tu hata primary hakufika
 

Katika rasimu ya katiba mpya, mswada unapendekeza elimu ya kiwango cha kuanza mtu kutafuta nafasi ya ubunge walao iwe elimu ya sekondari. Naridhika na kiwango hicho maana elimu ya sekondari Tanzania inatalii mengi ya muhimu katika kuijua Tanzania na ulimwengu.

Livingstone Lusinde ambaye ni mbunge wa bunge la Muungano na la katiba, akiwa Dodoma katika vikao vya katiba kama mjumbe amethubutu kusema hakubali kuzaliwa kwa Tanganyika. Kwa maneno mengine mpaka leo Mbunge huyu hajui kama Bara ni Tanganyika ambayo inaitwa Tanzania inapokuwa Jamhuri ya Muungano na visiwani.

Simshagai kwa vile kiwango cha elimu ya msingi alicho nacho vigumu mno kuelewa hata historia ya nchi yetu. Jambo la kushangaza Mbunge anapoongelea na kufikiria dhana ya kuzaliwa Tanganyika leo wakati taifa hilo lilishakuwepo zaidi ya karne mbili zilizopita.

wakati anachangia mimi nilijua ni kichaa sa sa nikajiuliza kapitaje pale na ulinzi wote ule yaani mpka wamarekani waje watulindie bunge.sa sa nilipoona anapigiwa makofi nikajiuliza tena kumbe kaja na wenzake sa sa wote hao wamepitaje pale jamaa mmoja akaniambia ni watanzania waliwachagua nikabaki nimeduwaa 'nikamwambia basi pesa ishapotea hakuna katiba hapo
 
Kwani kwao si dodoma karibu na mirembe. Wewe unafikiri kwa nini hospitali ya vichaa ikajengwa dodoma. Inawezekana mtoro huyo...
 
Kwani kwao si dodoma karibu na mirembe. Wewe unafikiri kwa nini hospitali ya vichaa ikajengwa dodoma. Inawezekana mtoro huyo...

hivi jk akiona mtu kama lusinde au nape wanaongea huwa haoni aibu hâta awaite awakemee Mzee Ghana soni yule au anakula chaque arusha ni ni ndo maana anachekackeka hov'''''''
 
Kibajaji is psychiatric case: ignore; kumjadili huyu ni kupoteza muda tu, hajitambui
 
Back
Top Bottom