Lusinde Hajui kuna Tanganyika. Too much kwa nafasi ya ubunge!

Lusinde Hajui kuna Tanganyika. Too much kwa nafasi ya ubunge!

Mimi huwa namwona Lusinde kama chizi tu!
 
Mimi huwa namwona Lusinde kama chizi tu!

Mdau mmoja hapo juu kasema aliposikia hivyo akaamua kumwuliza mdogo wake anayesoma darasa la tano akamfafanulia anajua vema Tanganyikia kinyume cha huyu Lusinde anayeaibisha, bora angenyamaa kuliko alivyojidhalilisha kuope uwezo wake umefikia kimo kisichostahili kwa nafasi aliyo nayo.
 
Alama maalumu ya sherehe ya kuadhimishwa miaka 50 ya muungano iliyozinduliwa leo huko Unguja ipo wazi, labda bara waibadirishe.
 
Tumwambie Jamhuri ya watu wa Tangnanyika iliungana na Jamhuri ya watu wa Zanziba kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mpaka leo miaka hamsini Zanziba
ni nchi ili hali Tanganyika ilifia pale pale miaka hamsini iliyopita.
 
Anabeba hoja ya chama chake

Ameajiriwa kupuliza tu vuvuzela bila kutumia akili yake, angesoma walao sekondari ingemjengea mazingira ya kutafakari kabla ya kusimama na kusema tu kama mtu asiye na uwezo wa kupima anachosema, ni sawa na yule aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuhusu Muungano.
 
Ni wa kuhurumia huyu, utawezaje kuipata TANZANIA bila kuwepo TANGANYIKA? Akili ndogo sana huyu, na kama ni kweli aliwaridhisha wapiga kura wake hata wakampa kura, then wao ni wa kuhurumia zaidi manake watakuwa na akili ndogo kuliko yeye!
 
Shule ina umuhimu tena wakisema tu wabunge waonyeshe vyeti labda akatengeze china.ujanja mwingi kichwa kimejaa......malizia
 
Kama hatutaacha tabia ya kuoneana aibu na kuogopana kamwe nchi yetu haitapata maendeleo; sioni mantiki ya kupendekeza kiwango cha elimu ya sekondali ndiyo iwe qualification ya mtu kuwa mbunge kama ilivyopendekezwa kwenye rasimu ya katiba!! Katika karne hii tuliyonayo ya digital kama kweli tunataka maendeleo ni muhimu wabunge wetu wawe na elimu angalau ya chuo kikuu; hapo ndipo tunaweza kuwa na mijadala ya sheria yenye tija badala ya kuwa na kejeli na mipasho tunayoisiskia toka kwa wabunge wa sampuli ya Lusinde na wezake.

Ningewaomba chonde chonde wabunge wa bunge la katiba, mtakapokuwa mnajadili kipengele kuhusu qualifications za wabunge ,tafadhalini sana mtupe wabunge wenye elimu angalau ya chuo kikuu ili tupunguze aibu ya mipasho na matusi bungeni!!
 
Ni aibu kuwa na mtu kama huyu eti naye ni mjumbe katika Bunge linalotutengenezea Katiba yetu.
 
Safari hii ataijua tu, Maana WaaZanzibar watawalazimizha kuipapatua Tanganyika kwa nguvu ,wapo wengi wanaokataa kwao ila mwaka huu kitajulikana kama kimeoza au kimevunda.
 
Nadiriki kusema ukiona Mbunge wako anaongea pumba,ana hoja yan yeye ni bendera ya chama(i mean vyama vyote sio CCM or CHADEMA) basi ujue wapiga kura wake wengi ni mambumbumbu mana unaona Mbunge wako haend kukuwakilisha Bungeni na hata hii nafasi imetokea,najua kateuliwa lakini bila ninyi kumfanya awe mbunge asingeteuliwa bado anasahau kua anafanya ktu kwa maslahi ya nchi ila yeye anajua ni maslahi ya chama
 
Back
Top Bottom