Uchaguzi 2020 Lusinde: Mimi nilikuwa na Lissu Bungeni, hajawahi zungumzia maendeleo ni malalamiko tu na ndiyo maana nilikuwa namuita Malalamiko FC

Duh, hoja za CCM ni full futuhi
CCM wanatapa tapa, huko CCM wana watu hujiita ni wasomi lakini hawathubutu kuwatumia humtumia mwimba taarabu ndipo ujue CCM hawana hoja tena wamebakia kutengeneza propaganda za kijinga kishamba na kishetani
 
Huyo mropokaji wenu hawezi kufikia hata kura za membe! Mark my words Mkuu
Kama kura ni zile za kugawiwa na NEC, sawa. Kwa kura za wananchi, habari yake mtaisikia. Safari hii natabiri matokeo yatachelewa kutangazwa kwa sababu ya kupika matokeo kama 2010!
 
Ndicho mnacho Jifariji nacho sio! Mna waweza Mabeberu!?
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa Upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Matokeo yatakuwa live na hakuna atakayeibiwa kura

Kupata kura sio kwenda sokon na stend kuhutubia ili kumfurahisha robertison wa Amsterdam
Kama kura ni zile za kugawiwa na NEC, sawa ...... Kwa kura za wananchi, habari yake mtaisikia. Safari hii natabiri matokeo yatachelewa kutangazwa kwa sababu ya kupika matokeo kama 2010!!
 
Mkuu kumbe Hilo unalijua hata wewe.
Unaona je ukiandika waraka kwa chadema kuwashauri wasitishe Kampeni zao njiani ili wasiendelee kupoteza HP za mwili angali mshindi anajulikana.

Mshindi hajulikani, ila Magufuli ndio anashurutisha kutangazwa mshindi, acha cdm washiriki ili ifahamike kuwa ccm iko madarakani,iwapo itatangazwa bila ridhaa ya wananchi. Kama mlitegemea kushinda bila kushindana basi imekula kwenu.
 
Mmeanza kuweweseka hata wiki mbili za kampeni hazijaisha
Tutawatandika kipigo cha mbwa mwizi huu Uchaguzi

Sio kwa kura boss, hilo mtasubiri sana. Labda kutandika kama ule uchaguzi wa SM.
 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Livingstone Lusinde amewaonya wagombea wa vyama vya upinzani waache kutumia muda mwingi kueneza uongo na kumshambulia mgombea wa CCM, John Magufuli...
Great thinkers tunapelekea kuwajadili wapuuzi kama Lusinde?

So JF has gone that much low? Acheni kutuaibisha bwana! Hapa sio mahali pa kujadili asemacho MTU kama Lusinde ambaye amejipambanua mbele za hadhira kuwa ni mbumbumbu
 
Mlipewa nguvu na Lowasa mkajiona mnaweza kushinda Uchaguzi

Mrudi kwenye chama cha familia

Lowassa alileta nguvu gani, kwa taarifa yako Lowassa ndio alitukia nguvu ya cdm, vinginevyo angeenda chama kingine nje ya cdm, angekuwa kama Membe hivi sasa. Narudia tena, chini ya Magufuli hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Mbona unaanza kuinua mikono mapemaaaaaaa kunani?

Niinue kwa kipi, hapa nakueleza ukweli hakuna uchaguzi chini ya Magufuli, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mbona hili liko wazi.
 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Livingstone Lusinde amewaonya wagombea wa vyama vya upinzani waache kutumia muda mwingi kueneza uongo na kumshambulia mgombea wa CCM, John Magufuli.
ndiyo kampeni zenyewe. Yeye anatakaje sasa ? Ngoja waje kumshukia na yeye sasa
 
Mshindi hajulikani, ila Magufuli ndio anashurutisha kutangazwa mshindi, acha cdm washiriki ili ifahamike kuwa ccm iko madarakani,iwapo itatangazwa bila ridhaa ya wananchi. Kama mlitegemea kushinda bila kushindana basi imekula kwenu.
Hata ueleweki unachokiamini.
 
Hatuwezi kususia Nchi wahuni tumewapa miezi miwili ya kuropoka

Baada ya October nidhamu itawale na yule jamaa enu arudi ubeliginyi[emoji3]
Mafisi takataka haya badala ya jibu hoja,hayajibu yanatangatanga tuu,jibuni nani alimpiga Risasi au mkamateni dunia ijue,alafu anachhongea Lissu ni kuwa watu maisha yamekuwa magumu sasa jibuni hoja kama kweli sio magumu,wafanyakazi wa serikali hajapandishwa mishahara miaka 5,jibuni kweli au uwongo,watu wameporwa hela zao na kufilisiwa Semeni ni kweli au uwongo,nchi wananchi hawana furaha wamekuwa waoga semeni kweli kwa nini sio ohhh Lissu kafanyaje,mmeshikwa kubaya Mavi nyie wauaji.
 
Huyu leo hii angekuwa mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, muda huu Magufuli angekuwa anacheka hadi jino la mwisho bahati mbaya hila zao zimezimwa mapema sana, muda huu maccm yote yameloa jasho hadi mattercore ni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…