LUTAMBULILO-Tego la Kunasa na kuua kabisa mtu anayetembea na Mke/ Demu wako

LUTAMBULILO-Tego la Kunasa na kuua kabisa mtu anayetembea na Mke/ Demu wako

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Wakuu Kwa wale mliowahi kuishi Iringa,nasikia Kuna hiyo dawa ya kimila inaitwa Lutambulilo, huwa wanachanjiwa mabinti / mke wa mtu ili jamaa yeyote akijifanya kidume akaenda kulala nae bas mara baada tu ya tendo la ngono bas jamaa atajisikia kuumwa kwelikweli na atafariki baada ya dakika chache tu.

Na kwa wajuzi wa mambo wanasema kuwa unaenda kuzikwa Huku unasikia maneno ya watu wakizungumza lakini huwezi amka ukasema neno. Karibuni tushirikishane wakuu ,huko mkoa uliotoka je kuna tego la namna hiyo.
 
Wakuu Kwa wale mliowahi kuishi Iringa,nasikia Kuna hiyo dawa ya kimila inaitwa Lutambulilo, huwa wanachanjiwa mabinti / mke wa mtu ili jamaa yeyote akijifanya kidume akaenda kulala nae bas mara baada tu ya tendo la ngono bas jamaa atajisikia kuumwa kwelikweli na atafariki baada ya dakika chache tu. Na kwa wajuzi wa mambo wanasema kuwa unaenda kuzikwa Huku unasikia maneno ya watu wakizungumza lakini huwezi amka ukasema neno. Karibuni tushirikishane wakuu ,huko mkoa uliotoka je kuna tego la namna hiyo.
Mtengeneza tego nae atombewa
 
Unafanya hivyo ili ugundue nini?

Huo no udhaifu na upumbavu uliotukuka.
 
Wakuu Kwa wale mliowahi kuishi Iringa,nasikia Kuna hiyo dawa ya kimila inaitwa Lutambulilo, huwa wanachanjiwa mabinti / mke wa mtu ili jamaa yeyote akijifanya kidume akaenda kulala nae bas mara baada tu ya tendo la ngono bas jamaa atajisikia kuumwa kwelikweli na atafariki baada ya dakika chache tu. Na kwa wajuzi wa mambo wanasema kuwa unaenda kuzikwa Huku unasikia maneno ya watu wakizungumza lakini huwezi amka ukasema neno. Karibuni tushirikishane wakuu ,huko mkoa uliotoka je kuna tego la namna hiyo.

Hakuna picha broo
 
Weee unataka semaji la byuti byuti liende iringa muda huu ninii mana kwa kutombeiwar yule hajambo
 
Ni mbaya sana hii nilishuhudia jamaa dudu yake imebaki uken kwa mwanamke mpaka mumewe alipokuja
 
Wakuu Kwa wale mliowahi kuishi Iringa,nasikia Kuna hiyo dawa ya kimila inaitwa Lutambulilo, huwa wanachanjiwa mabinti / mke wa mtu ili jamaa yeyote akijifanya kidume akaenda kulala nae bas mara baada tu ya tendo la ngono bas jamaa atajisikia kuumwa kwelikweli na atafariki baada ya dakika chache tu.

Na kwa wajuzi wa mambo wanasema kuwa unaenda kuzikwa Huku unasikia maneno ya watu wakizungumza lakini huwezi amka ukasema neno. Karibuni tushirikishane wakuu ,huko mkoa uliotoka je kuna tego la namna hiyo.
Kwanini ku muua mwanaume mwenzako kama umeoa malaya au kazimika mwenyewe au haumpi shoo inayo takiwa una tegemea nini sasa acha tumpe raha bhana acha u binafsi mzee ...
 
Back
Top Bottom