Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aah kuna taarifa zako zinaeleweka blaza labda mtu ajitoe ufahamu tu...............Endeleeni tu kunichukulia poa GENTAMYCINE hapa JamiiForums na Taarifa zangu mbalimbali na Mtambuka ambazo huwa nawaleteeni hapa sawa?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!aah kuna taarifa zako zinaeleweka blaza labda mtu ajitoe ufahamu tu...............
Nazungumzia nini? Nimetoa maoniKarne ya 21 unazungumzia kabisa?
Bila kumsahau Muhidini KimarioHata hivyo umri wake ulishakua mkubwa, mm nikiwa form 1Secondary school 1986, yeye alishakuwa Meja General wakati huo walikua 13 na akina Warden, Mayunga, Makame Rashid, Lupogo, Luhanga nk
Wanyakyusa wapo vzr upstairs wamejaa kwnye nyadhifa nyeti...
RIP...sir
mental caseMimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
1988 aliishakuwa mnadhimu,duh,huyu si atakuwa umri wa akina mzee mwinyi kabisa!!
Hii ina ukweli, nakumbuka ilikuwa ukiingia ofisi za shirika la Bima enzi hizo salaam iliyodominate ni ugonile, likewise NBCnepotism ndiyo iliwabeba. Ni sawa na watu wa musoma kuwa na wanajeshi wengi ni hivyo hivyo
Wasandawe je? Wao hawamo?Wanyakyusa wapo vzr upstairs wamejaa kwnye nyadhifa nyeti...
RIP...sir
Ila wanapopoaga mawe misafara ya rais. Tabia mbaya.Wanyakyusa wapo vzr upstairs wamejaa kwnye nyadhifa nyeti...
RIP...sir
Huyo Lupogo aiseee... !!!!! Nifuate inbox.Hata hivyo umri wake ulishakua mkubwa, mm nikiwa form 1Secondary school 1986, yeye alishakuwa Meja General wakati huo walikua 13 na akina Warden, Mayunga, Makame Rashid, Lupogo, Luhanga nk
Musoma wana brain ya medani bhana, kuna Wakurya drs la 7 D kabisa wanarusha fighters na wameshinda medani (vita) nyingi ndani na nje ya jamhuri. Acha kabisa watu wanaokula samaki-maji-baridi brain power yao ni hatari.Hapana siyo hivyo. Inategemea nani alikuwa sehemu ya maamuzi ya nani awe nani enzi za Mwalimu na kuendelea. Mfano, watu wa Mbeya walijulikana kwa ukabila na tangu enzi hizo apson etc alihakikisha wanyakyusa wanashika hatamu (siyo kuwa na akili). Same kwa makabila mengine yenye mrengo wa kupendeleana kama wachaga, waluguru, wapogoro etc. Hivyo usiseme kabisa eti wana akili bali ni nepotism ndiyo iliwabeba. Ni sawa na watu wa musoma kuwa na wanajeshi wengi ni hivyo hivyo
Enzi hizo kuliwa tayari kuna msamiati wa "dogo!?"Gen Warden alikuwa mwenyekiti wa Board Iyunga Tech Secondary
Enzi hizo shule ni fujo fujo ,Mwamba alikuwa akiitwa anatukana matusi vibaya mno na kutishia kuwafyatua bastola watukutu
Ni mjerumani full mikwara pale Sekondari Iyunga Tech Mbeya
Alishafariki lakini
Jamaa alikuwa anapiga mkwara mpaka wanafunzi wanataka kukimbia akiitwa Iyunga Tech kama wanafunzi wanafanya fujo au kudharau walimu
Kuna wakati alikuwa anaenda na Bastola kiunoni enzi hizo alishastaafu jeshi kitambo
Kuna siku kaitwa,Akaomba list ya watukutu wapite mbele akiwa na hasira full kufura ,Akaangalia jina moja akakutana na Sir name la rafiki yake walikuwa wote jeshi na jamaa alikuwa kiburi sana Jeshi
Akamuangalia yule mwamba akasema wewe dogo ni laana maana hata Baba yako alikuwa anaambiwa kuna siku atazaa mtoto kiburi kama yeye hivyo kosa sio lako nampigia simu Baba yako kumkumbusha tabia zake za hovyo na yeye ndie atakuhamishe uondoke hapa shule kabla sijakufukuza
Hii ungebaki nayo moyoniWanyakyusa wapo vzr upstairs wamejaa kwnye nyadhifa nyeti...
RIP...sir
Ahahahaha..nimeipenda hii.Gen Warden alikuwa mwenyekiti wa Board Iyunga Tech Secondary
Enzi hizo shule ni fujo fujo ,Mwamba alikuwa akiitwa anatukana matusi vibaya mno na kutishia kuwafyatua bastola watukutu
Ni mjerumani full mikwara pale Sekondari Iyunga Tech Mbeya
Alishafariki lakini
Jamaa alikuwa anapiga mkwara mpaka wanafunzi wanataka kukimbia akiitwa Iyunga Tech kama wanafunzi wanafanya fujo au kudharau walimu
Kuna wakati alikuwa anaenda na Bastola kiunoni enzi hizo alishastaafu jeshi kitambo
Kuna siku kaitwa,Akaomba list ya watukutu wapite mbele akiwa na hasira full kufura ,Akaangalia jina moja akakutana na Sir name la rafiki yake walikuwa wote jeshi na jamaa alikuwa kiburi sana Jeshi
Akamuangalia yule mwamba akasema wewe dogo ni laana maana hata Baba yako alikuwa anaambiwa kuna siku atazaa mtoto kiburi kama yeye hivyo kosa sio lako nampigia simu Baba yako kumkumbusha tabia zake za hovyo na yeye ndie atakuhamishe uondoke hapa shule kabla sijakufukuza
Unajua kusoma kweli?1988 aliishakuwa mnadhimu,duh,huyu si atakuwa umri wa akina mzee mwinyi kabisa!!