TANZIA Luteni Jenerali Mstaafu, Balozi Martin Mwakalindile afariki dunia

1988 aliishakuwa mnadhimu,duh,huyu si atakuwa umri wa akina mzee mwinyi kabisa!!
 
nepotism ndiyo iliwabeba. Ni sawa na watu wa musoma kuwa na wanajeshi wengi ni hivyo hivyo
Hii ina ukweli, nakumbuka ilikuwa ukiingia ofisi za shirika la Bima enzi hizo salaam iliyodominate ni ugonile, likewise NBC
 
Musoma wana brain ya medani bhana, kuna Wakurya drs la 7 D kabisa wanarusha fighters na wameshinda medani (vita) nyingi ndani na nje ya jamhuri. Acha kabisa watu wanaokula samaki-maji-baridi brain power yao ni hatari.
 
R.I.P Jenerali Mwakalindile, msalimie mdogo wako marehemu Jenerali Mwankanye maana naona nyote mmepumzishwa nyumbani kabisa Kibisi...
 
Enzi hizo kuliwa tayari kuna msamiati wa "dogo!?"
 
Ahahahaha..nimeipenda hii.
 
1988 aliishakuwa mnadhimu,duh,huyu si atakuwa umri wa akina mzee mwinyi kabisa!!
Unajua kusoma kweli?
Maana tarehe ya kuzaliwa imeandakwa hapo unashindwa kutoa mwaka wa sasa na wa kuzaliwa upate umri wake ?
mzee mwinyi kazaliwa mwaka 1925 watakuwaje sawa? Kwa mwinyi huyo ni kama mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…