Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 59,045 Reaction score 94,974 Feb 4, 2024 #41 Kalpana said: Wanyakyusa wapo vzr upstairs wamejaa kwnye nyadhifa nyeti... RIP...sir Click to expand... Ila sio Bettina
Kalpana said: Wanyakyusa wapo vzr upstairs wamejaa kwnye nyadhifa nyeti... RIP...sir Click to expand... Ila sio Bettina
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Feb 4, 2024 #42 R.i.P Classmate..😪
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Feb 4, 2024 #43 Doubleg Malafyale said: Unajua kusoma kweli? Maana tarehe ya kuzaliwa imeandakwa hapo unashindwa kutoa mwaka wa sasa na wa kuzaliwa upate umri wake ? mzee mwinyi kazaliwa mwaka 1925 watakuwaje sawa? Kwa mwinyi huyo ni kama mtoto Click to expand... sijui kusoma mkuu.
Doubleg Malafyale said: Unajua kusoma kweli? Maana tarehe ya kuzaliwa imeandakwa hapo unashindwa kutoa mwaka wa sasa na wa kuzaliwa upate umri wake ? mzee mwinyi kazaliwa mwaka 1925 watakuwaje sawa? Kwa mwinyi huyo ni kama mtoto Click to expand... sijui kusoma mkuu.
mtwa mkulu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2013 Posts 8,586 Reaction score 11,227 Feb 6, 2024 #44 Ganda Mweri said: Karne ya 21 unazungumzia kabisa? Click to expand... Anazungumzia ukabilaaaaaa Anataka kutambika???
Ganda Mweri said: Karne ya 21 unazungumzia kabisa? Click to expand... Anazungumzia ukabilaaaaaa Anataka kutambika???
mtwa mkulu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2013 Posts 8,586 Reaction score 11,227 Feb 6, 2024 #45 Ushimen said: R.i.P Classmate..😪 Click to expand... Tunaishi kisela na wazee humu
Thebroker JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 3,334 Reaction score 5,829 Feb 6, 2024 #46 ngoshakolya said: Bila kumsahau Muhidini Kimario Click to expand... Ambae ni bana wa Master J.