Luteni Jenerali Roger L. Cloutier wa Jeshi la Marekani atekwa na Makomandoo wa Urusi akiwa vitani Ukraine

Itakuwa walimkamata hapa JF
 
Mbona urusi yenyewe haijatangaza. Walivyopteza majenerali wao zaidi ya saba mpaka wakati ninaandika, utadhani kweli wangeweza kumteka Generali wa kimarekani na kukaa kimya badala ya kitangazia dunia yote kuwa kuna askari wa NATO upande wa Ukraine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…