Zamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.
Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.
Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.
Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.
Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow
View attachment 2177884
View attachment 2177885
View attachment 2177891
View attachment 2177894
View attachment 2177895