Luteni Jenerali wa ngazi ya juu wa Urusi, Igor Kirillov auawa kwa bomu lililotegwa kwenye ‘scooter’

Luteni Jenerali wa ngazi ya juu wa Urusi, Igor Kirillov auawa kwa bomu lililotegwa kwenye ‘scooter’

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Luteni Jenerali wa ngazi ya juu Igor Kirillov ambaye ni Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi cha Nyuklia, Biolojia, Kemikali (NBC) katika Jeshi la Urusi na Msaidizi wake wameuawa katika mlipuko uliotokea mjini Moscow.

Jenerali huyo alikuwa akiondoka kwenye makazi mapema Jumanne wakati kifaa kilichofichwa kwenye skuta (Scooter) kilipolipuka, Kamati ya Uchunguzi ya Urusi.

Vyanzo vya usalama vya Urusi vililiambia Shirika la Habari la Serikali Tass kuwa kifaa hicho kililipuliwa kwa mbali.

Siku ya Jumatatu, huduma ya usalama ya Ukraine ilimshtaki Kirillov bila kuwepo mahakamani, ikisema kwenye Telegram kwamba "alihusika na matumizi makubwa ya silaha za kemikali zilizopigwa marufuku". Serikali ya Ukraine bado haijatoa maoni yoyote kuhusu kifo cha jenerali huyo.

FB_IMG_1734433688389.jpg
 
Luteni Jenerali wa ngazi ya juu Igor Kirillov ambaye ni Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi cha Nyuklia, Biolojia, Kemikali (NBC) katika Jeshi la Urusi na Msaidizi wake wameuawa katika mlipuko uliotokea mjini Moscow.

Jenerali huyo alikuwa akiondoka kwenye makazi mapema Jumanne wakati kifaa kilichofichwa kwenye skuta (Scooter) kilipolipuka, Kamati ya Uchunguzi ya Urusi.

Vyanzo vya usalama vya Urusi vililiambia Shirika la Habari la Serikali Tass kuwa kifaa hicho kililipuliwa kwa mbali.

Siku ya Jumatatu, huduma ya usalama ya Ukraine ilimshtaki Kirillov bila kuwepo mahakamani, ikisema kwenye Telegram kwamba "alihusika na matumizi makubwa ya silaha za kemikali zilizopigwa marufuku". Serikali ya Ukraine bado haijatoa maoni yoyote kuhusu kifo cha jenerali huyo.

View attachment 3178789
Unataka kutuaminisha kwamba auae kwa upanga nae lake panga!
 
Yeah sure kamanda huwa hauwawi anakuwa eliminated , liquidated or neutralized
Actualy ni kuuwawa, ila wanatumia cryptic messages ili hata kukiwa na wiretap wasielewe nini kinazungumzwa.
Think of it such word zilianza kutumika sasa WWII , ni pure genius move
 
Luteni Jenerali wa ngazi ya juu Igor Kirillov ambaye ni Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi cha Nyuklia, Biolojia, Kemikali (NBC) katika Jeshi la Urusi na Msaidizi wake wameuawa katika mlipuko uliotokea mjini Moscow.

Jenerali huyo alikuwa akiondoka kwenye makazi mapema Jumanne wakati kifaa kilichofichwa kwenye skuta (Scooter) kilipolipuka, Kamati ya Uchunguzi ya Urusi.

Vyanzo vya usalama vya Urusi vililiambia Shirika la Habari la Serikali Tass kuwa kifaa hicho kililipuliwa kwa mbali.

Siku ya Jumatatu, huduma ya usalama ya Ukraine ilimshtaki Kirillov bila kuwepo mahakamani, ikisema kwenye Telegram kwamba "alihusika na matumizi makubwa ya silaha za kemikali zilizopigwa marufuku". Serikali ya Ukraine bado haijatoa maoni yoyote kuhusu kifo cha jenerali huyo.

View attachment 3178789
Urusi wanavuna walichopanda Ukraine, bado Putin.
 
Eliminated. Watu kama hawa makomandoo and the like huwa hatusemi ameuwawa huwa tunasema amekuwa -eliminated

Wanasema neutralized, kwenye kazi za kijasusi ama za kijeshi. Israel wamekuwa vinara wa hizo operations

 
Luteni Jenerali is, by virtue of the title, automatically a kamanda wa ngazi ya juu. It doesn't need any elaboration. Rephrase the heading.
 
Unaweza kukuta Ukraine ime Fanya kazi ya FSB bila kuelewa. Yaani Russia hatari sana. Unaweza jihisi umeshinda kumbe wapi.
 
Back
Top Bottom