Luxury Cars stolen from UK: SFO in action

Luxury Cars stolen from UK: SFO in action

Watanzania sasa tunawakimbilia Wanigeria kwa madudu kuanzia wizi wa magari, unga mpaka wizi wa credit cards. Wacha wengine tuendelee kuhangaika na mabox
angalau ni pesa ambayo tunajua haiwezi kutuletea matatizo huko mbeleni.
Mhh!!Mkuu inabidi ufafanue kuhusu hayo matatizo ya Mbeleni maana wengine tunarudi nyumbani na 'Wheel chairs',Vibiongo,magamba&sugu za ajabu Mikononi.....angalia!
 
Mh, hii kaazi kweli kweli. Dogo alikuwa anasifika sana bongo kwa kupeleka magari miaka ya nyuma, ooh anakumbuka ku invest home, kumbe yuko kwenye car theft syndicate? Duh noma.

WHY UNATAKA MAISHA AY KIRAHISI POLE ZAKE MKE WKO NA WAZEWE WAKO MLOKUL
 
Mhh!!Mkuu inabidi ufafanue kuhusu hayo matatizo ya Mbeleni maana wengine tunarudi nyumbani na 'Wheel chairs',Vibiongo,magamba&sugu za ajabu Mikononi.....angalia!

HANA MAISHA TENA ANATUTIA AIBU KWA MAISHA YA HARAKA NAMKE WAKO WATAONA JOTO LAJIWE
 
Duh, kumbe jamaa ni bad news!! No wonder alikuwa na maisha ya kifahari sana and I thought that was legal money that he was spending! Kumbe na hela zetu za BoT pia?? He should be locked up for GOOOD!
 
Huyu bwana licha ya ujanja wote huu, aliniacha hoi
alipoenda ku-dhraw 100,000$ kule Texas...ndiposa akarukiwa
na kudeportiwa....hapo nikajua we got a fool for a thief.
Hii Uingereza ilikua a matter of time tu.

Wala sijui kama ni tamaa ama ni uzuzu tu!
 
bongofamily njooni hapa mtupe kilicho jiri juu ya mfadhili wemu,mbona mnamtosa kiaina washikaji
 
Huyu Bwana mdogo alianza hata kumwibia Baba yake Mzee Malakasuka akiwa na kitu inayoitwa Ghana Contractors, nadhani sasa 40 zake zimefika na huenda zitakuwa 40 kwelikweli!
 
I do not condone wizi wa aina yoyote lakini Im standing up right now with my hat off for this guy, simjui lakini he must have some brain and a tough heart,he deserve some credit.

MPONJOLI AMECHEMKA
Mimi huyo jamaa simfahamu lakini baadhi ya watu kutoka kwenye familia yao nawafahamu na sidhani kama amefanya kitu cha maana kuwa mwizi wa magari.
Kwanza alikuwa na kazi nzuri tu kama jamaa walivyosema.

Pili familia yao washakuwa na pesa sana hapo nyuma na baba ake alikuwa tajiri mkubwa tu Mkoani Mbeya (ambako ndio kwao, baadae walihamia Dar) japo sina uhakika hizo pesa bado zipo kama zamani! Nadhani anaweza akachafua hata historia ya familia yao ikaonekana kwamba labda hata baba yake alikuwa mwizi wa magari!

Tatu kabla hata hajaenda huko Uingereza, wao safari za marekani zilikuwa kila siku (nakumbuka hata kombe la dunia 1994 familia yao, kama sio wote basi wachache walihudhuria) na kaka yake (sijui kama yupo hai, manake alikuwa kiwembe) alisoma marekani na kuishi huko muda tu, kwa hiyo basi mpaka sasa alitakiwa awe ashakuwa na uzoefu mwingi tu wa kupata fedha kihalali na sio kuibaiba magari.

Kitu kingine kinachomponza anapenda sana sifa, habadiliki tu huyu mtu, kwa sababu nakumbuka wakati anasoma sekondari alikuwa anatinga skuli (alisoma mkoani Mbeya)na laki 2 au 3 kila siku na kugawia watu watakaokuwa wapambe wake siku hiyo buku tano tano. Si ajabu kilichomfanya aanze hata kuiba magari ili apate pesa za ziada ni kutafuta hela za kuwapa wapambe; ku-keep wapambe juu aghali, ooh!
Sasa inamsaidia nini kuishia jela? Si bara angeendelea kula hizo dolla 17,000 kila mwaka!
 
Huyu bwana licha ya ujanja wote huu, aliniacha hoi
alipoenda ku-dhraw 100,000$ kule Texas...ndiposa akarukiwa
na kudeportiwa....hapo nikajua we got a fool for a thief.
Hii Uingereza ilikua a matter of time tu.

Wala sijui kama ni tamaa ama ni uzuzu tu!

Baada ya kusoma mawazo tofauti ya watoa hoja mbalimbali na kidogo ninavyoifahamu familia ya Mponjori.

I conclude as follows:

1. Familia aliyotoka, baba yake alikuwa na hela nyingi sana miaka ya nyuma na kampuni yake ya Ghana Building Contractor. Kwa hiyo kimsingi hakukosa kitu na kama angetaka kusoma pesa ilikuwa sio tatizo.Badala yake kama wengine wanavyosema alikuwa anafuja hela na washikaji wake kwa kutaka sifa.

2. Pamoja na mafanikio yake katika shughuri zake bado anakuja kukamatwa na gari la wizi, ambalo alijua kabisa ni la wizi. “A police source said: "Mr Malakasuka was arrested in an apparently stolen Mercedes after officers ran a PNC check on the car”

Kufuatana na jinsi alivyokuwa anaendesha maisha yake mimi ninaona anaishi bila malengo na wala hajui nini anataka katika maisha yake. Uizi wake ni wa kishamba harafu wa kijinga ama kweli kuna watu wamezaliwa waizi. Just for the funny ya kuiba.


Wako wengi tunawaona wamefanikiwa leo walifanya exactly kama yeye na wengine zaidi yake lakini they had a limit and they knew what were doing. Kwake alifikiri life is simple and could continue stealing people the whole of his life. FOOLISH BOY HAS SHAMED ME AND TANZANIANS IN GENERAL.

Ninamhurumia sana Mama yake mzazi ambae pamoja na utajiri wa mume wake alikuwa anahangaika na maisha yake kama mwanamke wa kawaida kabisa. Niliacha kumuona kwenye mahangaiko Soko Matola- Mbeya miaka ya 2000, na leo nimepata jibu kuwa ni Mponjori aliyemleta DAR.

Pole dada yangu (Nina maana Mama yake mzazi) huyu mtoto katutia aibu sana. Lakini alipata wapi hii tabia? Mbona upande wa mama yake karibu familia yao warokole na humble?

Kama mtu anafahamu jinsi baba yake Mzazi Mzee Malakasuka alivyoacha kazi Hospitari ya Baptist Mbeya na leo Meta Maternity Hospital basi atueleze ...........

Njimba Nsalilwe
 
Baada ya kusoma mawazo tofauti ya watoa hoja mbalimbali na kidogo ninavyoifahamu familia ya Mponjori.

I conclude as follows:

1. Familia aliyotoka, baba yake alikuwa na hela nyingi sana miaka ya nyuma na kampuni yake ya Ghana Building Contractor. Kwa hiyo kimsingi hakukosa kitu na kama angetaka kusoma pesa ilikuwa sio tatizo.Badala yake kama wengine wanavyosema alikuwa anafuja hela na washikaji wake kwa kutaka sifa.

2. Pamoja na mafanikio yake katika shughuri zake bado anakuja kukamatwa na gari la wizi, ambalo alijua kabisa ni la wizi. “A police source said: "Mr Malakasuka was arrested in an apparently stolen Mercedes after officers ran a PNC check on the car”

Kufuatana na jinsi alivyokuwa anaendesha maisha yake mimi ninaona anaishi bila malengo na wala hajui nini anataka katika maisha yake. Uizi wake ni wa kishamba harafu wa kijinga ama kweli kuna watu wamezaliwa waizi. Just for the funny ya kuiba.


Wako wengi tunawaona wamefanikiwa leo walifanya exactly kama yeye na wengine zaidi yake lakini they had a limit and they knew what were doing. Kwake alifikiri life is simple and could continue stealing people the whole of his life. FOOLISH BOY HAS SHAMED ME AND TANZANIANS IN GENERAL.

Ninamhurumia sana Mama yake mzazi ambae pamoja na utajiri wa mume wake alikuwa anahangaika na maisha yake kama mwanamke wa kawaida kabisa. Niliacha kumuona kwenye mahangaiko Soko Matola- Mbeya miaka ya 2000, na leo nimepata jibu kuwa ni Mponjori aliyemleta DAR.

Pole dada yangu (Nina maana Mama yake mzazi) huyu mtoto katutia aibu sana. Lakini alipata wapi hii tabia? Mbona upande wa mama yake karibu familia yao warokole na humble?

Kama mtu anafahamu jinsi baba yake Mzazi Mzee Malakasuka alivyoacha kazi Hospitari ya Baptist Mbeya na leo Meta Maternity Hospital basi atueleze ...........

Njimba Nsalilwe

Njimba,

Mponjoli hakuwa mjinga kama unavyofikiri. The guy was actually smarter than most of his agemate. Issue ni kwamba alichagua kutumia akili zake kwenye masuala ya wizi. Na alikuwa damn good at it. Otherwise, he could have been whatever he wanted to be.

Alikuwa fast mno....yeye kila kitu kwake ni fasta fasta tu. Na alikuwa very accurate na dili zake. Nakumbuka alipokuwa Dallas, alishawahi kuchonga dili ya kuibiwa gari. Na alifanikiwa kuvuta check kutoka insurance bila ya kubumburuka. Na hata dili za kwenda upfront bank, alishazifanya sana na kufanikiwa (ninazungumzia ya kati ya $1000 - 20,000). Alichokosea step ya dili ya bank iliyomkamatisha ni kiasi cha $ alichotaka kuvuta, plus nafikiri tayari alishakuwa kwenye survilliance by then. Na mwenyewe alishajua kuwa tayari yuko kwenye survilliance, kwa hiyo alitaka kuvuta hela kubwa na kuingia mitini kurudi bongo kimoja.

Kuna vitu viwili vikubwa ambavyo vilikuwa vinamwangusha Mponjoli. Wanawake na wapambe. Jamaa alikuwa anapenda mambo ya chumbani sijawahi ona. Mshikaji yaani alikuwa akiona demu anatetemeka kwa uchu. Na ikibidi hata afunge baa kwa kujaribu kum-impress yule demu, atafanya hivyo. Mambo mengine aliyowahi kuyafanya kukiwa na mwanamke around ni mpaka aibu kuyaelezea. Nafikiri mpaka anaondoka U.S. alishakuwa na watoto kama watatu (not sure)wenye mama tofauti. Mwenyewe alikuwa anakiri kuwa uzinzi amechukua kutoka kwa baba yake. Alikuwa anasema kwao wako wengi kinoma.

Wapambe ni issue nyingine. Jamaa alikuwa anawapambe wengi mno. Yaani Dallas bila ya Mponjoli ilikuwa haiendi. Alikuwa kama baba yao vile. Alikuwa akienda kwenye zile party za kibongo (Houston, DC, na Columbus) na wapambe wake, atawalipia airline ticket, rent a car, mpaka hotel fair. Yaani jamaa alikuwa celebrity fulani huko Dallas. Alipokamatwa, wabongo wengi Dallas walikuwa kama wamemwagia maji kwa kunywea. Dallas bongo community has never been the same ever since. Hata kukamatwa kwake kunahusishwa na whistleblow kutoka kwa baadhi ya wapambe wako aliokosana nao kwa namna moja au nyingine.

(Disclaimer - baadhi ya mambo niliyoyaandika hapo juu ni hearsay. So don't hold a gun on me)
 
Njimba,

Mponjoli hakuwa mjinga kama unavyofikiri. The guy was actually smarter than most of his agemate. Issue ni kwamba alichagua kutumia akili zake kwenye masuala ya wizi. Na alikuwa damn good at it. Otherwise, he could have been whatever he wanted to be.

Alikuwa fast mno....yeye kila kitu kwake ni fasta fasta tu. Na alikuwa very accurate na dili zake. Nakumbuka alipokuwa Dallas, alishawahi kuchonga dili ya kuibiwa gari. Na alifanikiwa kuvuta check kutoka insurance bila ya kubumburuka. Na hata dili za kwenda upfront bank, alishazifanya sana na kufanikiwa (ninazungumzia ya kati ya $1000 - 20,000). Alichokosea step ya dili ya bank iliyomkamatisha ni kiasi cha $ alichotaka kuvuta, plus nafikiri tayari alishakuwa kwenye survilliance by then. Na mwenyewe alishajua kuwa tayari yuko kwenye survilliance, kwa hiyo alitaka kuvuta hela kubwa na kuingia mitini kurudi bongo kimoja.

Kuna vitu viwili vikubwa ambavyo vilikuwa vinamwangusha Mponjoli. Wanawake na wapambe. Jamaa alikuwa anapenda mambo ya chumbani sijawahi ona. Mshikaji yaani alikuwa akiona demu anatetemeka kwa uchu. Na ikibidi hata afunge baa kwa kujaribu kum-impress yule demu, atafanya hivyo. Mambo mengine aliyowahi kuyafanya kukiwa na mwanamke around ni mpaka aibu kuyaelezea. Nafikiri mpaka anaondoka U.S. alishakuwa na watoto kama watatu (not sure)wenye mama tofauti. Mwenyewe alikuwa anakiri kuwa uzinzi amechukua kutoka kwa baba yake. Alikuwa anasema kwao wako wengi kinoma.

Wapambe ni issue nyingine. Jamaa alikuwa anawapambe wengi mno. Yaani Dallas bila ya Mponjoli ilikuwa haiendi. Alikuwa kama baba yao vile. Alikuwa akienda kwenye zile party za kibongo (Houston, DC, na Columbus) na wapambe wake, atawalipia airline ticket, rent a car, mpaka hotel fair. Yaani jamaa alikuwa celebrity fulani huko Dallas. Alipokamatwa, wabongo wengi Dallas walikuwa kama wamemwagia maji kwa kunywea. Dallas bongo community has never been the same ever since. Hata kukamatwa kwake kunahusishwa na whistleblow kutoka kwa baadhi ya wapambe wako aliokosana nao kwa namna moja au nyingine.

(Disclaimer - baadhi ya mambo niliyoyaandika hapo juu ni hearsay. So don't hold a gun on me)

Za mwizi ni 39 siku ya 40 anangukiwa na nguvu za Dola.
Kapanda bangi kavuna Bangi mwache sasa aivute.
 
Njimba,

Alichokosea step ya dili ya bank iliyomkamatisha ni kiasi cha $ alichotaka kuvuta, plus nafikiri tayari alishakuwa kwenye survilliance by then. Na mwenyewe alishajua kuwa tayari yuko kwenye survilliance, kwa hiyo alitaka kuvuta hela kubwa na kuingia mitini kurudi bongo kimoja.

Kuna vitu viwili vikubwa ambavyo vilikuwa vinamwangusha Mponjoli. Wanawake na wapambe.

Wapambe ni issue nyingine. Jamaa alikuwa anawapambe wengi mno. Yaani Dallas bila ya Mponjoli ilikuwa haiendi. Alikuwa kama baba yao vile. Alikuwa akienda kwenye zile party za kibongo (Houston, DC, na Columbus) na wapambe wake, atawalipia airline ticket, rent a car, mpaka hotel fair. Yaani jamaa alikuwa celebrity fulani huko Dallas.

Kama hivi ni vigezo vya usmati wake, why do not I call him a foolish boy?

Unaona mambo yake yanafanana, anendesha gari analojua ni la uizi??? Same mistake he did in dallas.

Halafu kuna vitu vilikuwa recovered kwake. Though they did not elaborate what.


I insist ni mwizi mjinga asie na malengo na asiejua anataka nini katika maisha yake.

Njimba Nsalilwe.
 
KUNA MTU ANAHABARI ZA FRANK MALAKASUKA? (KAKA YAKE MPONJOLI)

Kama hivi ni vigezo vya usmati wake, why do not I call him a foolish boy?

Unaona mambo yake yanafanana, anendesha gari analojua ni la uizi??? Same mistake he did in dallas.

Halafu kuna vitu vilikuwa recovered kwake. Though they did not elaborate what.


I insist ni mwizi mjinga asie na malengo na asiejua anataka nini katika maisha yake.

Njimba Nsalilwe.



Kama kuna mtu ana habari za Frank malakasuka,(kaka yake Mponjoli) anipe tafadhali. Kuna katoto pale mtaani kwetu alizaaga na dada mmoja (sasa marehemu) kana shida sana, inatakiwa aje alete hala za matumizi.
 
Mponjoli Asobenye Malakasuka ni mtoto mwenye mafanikio sana kutoka katika familia ya watoto wapatao 30 wa familia ya mzee Asobenye Malakasuka.

Mzee Asobenye Malakasuka ni tajiri aliyefilisika na mmiliki wa kampuni iliyokufa ya Ghana Building Contractors ya Mbeya. Katika miaka ya 1990 - 1995 kampuni hii ilikuwa ni moja ya kampuni machachari sana ya ujenzi katika nchi ya Tanzania. Na Mzee Asobenye alipata tenda nyingi sana kutoka serikalini na alikuwa kwa kweli ni moja ya matajiri wakubwa sana Tanzania.

Alipata ajali mbaya sana ya gari ambayo mpaka leo imemuacha kiziwi kabisa na hawezi kusikia hata kidogo. Mzee huyu kwa sasa ni masikini wa kutupa na anaishi na mke wake wa tano hapo Victoria House Plot Number 36, Ali Hassan Mwinyi Road, Mwananyamala. Anaishi katika nyumba ya chumba kimoja na familia ya watu wapatao 5 na mtoto wake wa mwisho anaitwa Gwabosa ambaye ana umri wa miaka ipatayo 16, na katoto hako ni MALAYA hatari.

Sababu kubwa ya Mzee Malakasuka kuishi maisha haya ni ukweli kuwa huyu Mzee ni kiwembe sana kwa wanawake na katika kipindi chote cha utajiri wake aliwekeza sana kwa wanawake na hata kuna wakati Mponjoli alikuja kumlilia shida zake ila Mzee huyu alimpa mgongo, sasa nadhani ilimuudhi sana mwanae huyu. Ila kwa habari nilizo nazo last time nimekutana na Mponjoli Bongo around August 15-25 alikuwa na mawasiliano na Baba yake na akienda Bongo kwa kweli Baba yake alikuwa anapata mshiko wa kufa mtu. Ila mwanamke anayeishi nae sasa kabinti hako ka miaka kama 35 hivi ndo anayefanya watoto wa Mzee huyu kumsusa Baba yao kwani kila wanachompa Mama huyu anachukua na kufanyia mambo yake.

Mzee Malakasuka ana kama miaka 70 au 75 kwa sasa. Mtoto wake wa kwanza Frank huyo ambaye mnamsema hapo juu kuwa alikuwa kiwembe, YES ni Marehemu kwa sasa na lile gonjwa la kisasa. Tulimzika mwaka 2003 kama sijakosea na dada yake mwingine pia tulimzika. Nadhani Familia ya Frank yote ni marehemu kwa sasa. Kaka yake mwingine anaitwa Hebron Malakasuka nae nadhani karibia tutamzika, huyu alikuwa anaishi Uingereza sasa yuko Bongo na mke wake ambaye nakumbuka miaka ambayo mumewe alikuwa UK nilishakutana nae akitoka Guest House fulani hivi na mbaba mwingine. Of course wote ni waadhirika so kwa sasa nadhani wameamua tu kuishi kwa matumaini.

Mponjoli amekuwa ndiye mtoto pekee wa Asobenye Malakasuka ambaye aliibukia kuwa na hela nyingi tu na kufanya mambo mazuri. Amemjengea Mama yake nyumba nzuri sana huko Mbezi beach na kumuanzishia biashara mbalimbali. Ila kikwazo kikubwa ni mdogo wa Mponjoli anayependa raha bila kufanya kazi anaitwa NIco Asobenye Malakasuka. Huyo bwana yeye bia na bia yeye. Huyo ndiye aliyemfanya Mponjoli kurudi Bongo na kuuza magari yote ya biashara na kufunga miradi yake yote Bongo. Ila Mama yake na Mponjoli hana shida naishi maisha safi na mara nyingi amekuwa akimpelekea Mzee Malakasuka hela ya kula na kumsaidia hapa na pale.

Mponjoli ni shujaa wa familia ya Mzee Asobenye, wewe unadhani kuwa na ndugu zaidi ya 25 hao ni wa kuzaliwa nao je wajomba na shangazi na wengineo? Kijana huyu amekuwa akiwasomesha wote na kuwapa hela ya kula na kuishi hapo Tanzania. Mazingira ndiyo yaliyomfanya kijana huyu akawa kama alivyo. Mponjoli asilaumiwe hata kidogo. Ahurumiwe kwa mzigo aliokuwa nao Tanzania.

Hayo mengine ni mambo ya kibiinadamu na kila mtu ana udhaifu wake. Kama aliuwa malaya basi ni sababu katika yeye kuna Genes za Mzee Malakasuka. Nitasema mengi zaidi kuhusu Mponjoli binafsi wakati mwingine ila hiyo ni INTRODUCTION.

London Mponjoli ana dada yake anaitwa Feda nadhani na dada yake mmoja kajaa jaa sana huyo yeye ni kama gangstar fulani anaitwa Eddy. Nadhani watamkumbuka kaka yao na kumpiga tafu.

Huyo Feda alishaiibiaga Bank ya NBC na kutorokea UK, so si mbaya ukaona hawa ndiyo staili yao hiyo.
 
Back
Top Bottom