Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Lissu ataeleweka na Watanzania wakiwa wamechelewa sanaHuhitajiki kua na Elimu ,kwamba umsikilize LISSU alafu usiuone Uwezo mkubwa wa Akili na Karama alizojaaliwa.
LISSU ni MTU anayepatikana Kwa NADRA .
Hotuba zake zote Huwa ni Shule anayotoa , ni ngumu sana kumpata Mtanzania anaongea vitu Kwa Rejea Kadhaa wa Kadhaa.
Hii Unamaanisha LISSU akisoma, kinakaa kichwan na anakumbukumbu za kiupekee Sanaa na za karibu .
Ila ni kawaida sana Kwa watu wajinga ,wabinafsi , waoga, wasopenda kuchalenjiwa kumdhihaki na kumuona ni Threat.
1. Lissu ataeleweka na Watanzania wakiwa wamechelewa sana
2. Kuna kizazi kijacho kinachonitambua watutumia rejea za Lissu kujikomboa.
3. Lissu hakupaswa kuzaliwa kwenye nchi kama Tanzania yenye watu wajinga kwa kiwango cha lami, watu wapenda dezo hata kama ni upendeleo wa kihalifu.
Ona aina ya watu wanaomshabikia Mbowe ni watu wachumia tumbo na maskini kichwani...rejea Wenje. Ntobi, Nuerere na vituko wengine
Bila kumsahau Retired
AsanteUwakumbuke pia Nyanye Go, Erythrocytes, Yonda, Mshana Jnr, Tlaatlaah, johnthebaptist, Allen Kilewela na wenzao.
imhotep, binti kiziwi au nasema uongo?
Asante
Mbowe kukaa kimya siyo kwamba ana uvumilivu sana. Hapana.
Amejipima ubongo wake akaona Lisu ni maji marefu ataumbuka.
Wenje anaropoka tu
Sijawahi ina msomi kafeli kuwa prof Kama azaveliHizi ndiyo habari za kufungia na kufungulia mwaka:
View attachment 3190325
View attachment 3190327
View attachment 3190326
La kuvunda halina ubani.
Wakimeza, wakitema ni shauri yao!
Wenje anaropoka tu
Sijawahi ina msomi kafeli kuwa prof Kama azaveli