Lwaitama awapa Mwamba, CCM na wafuasi wao vidonge vyao!

Lwaitama awapa Mwamba, CCM na wafuasi wao vidonge vyao!

Hizi ndiyo habari za kufungia na kufungulia mwaka:

View attachment 3190325

View attachment 3190327

View attachment 3190326

La kuvunda halina ubani.

Wakimeza, wakitema ni shauri yao!

Hizi ndiyo habari za kufungia na kufungulia mwaka:

View attachment 3190325

View attachment 3190327

View attachment 3190326

La kuvunda halina ubani.

Wakimeza, wakitema ni shauri yao!

Hayo maneno ya kwako siya Prof Rwaitama sikiliza hiyo hapo mkuu[emoji1427][emoji1427]


View: https://youtu.be/4bFvRvum5Ow?si=X6_qpPOxy-OeEhu8
 
Huhitajiki kua na Elimu ,kwamba umsikilize LISSU alafu usiuone Uwezo mkubwa wa Akili na Karama alizojaaliwa.

LISSU ni MTU anayepatikana Kwa NADRA .

Hotuba zake zote Huwa ni Shule anayotoa , ni ngumu sana kumpata Mtanzania anaongea vitu Kwa Rejea Kadhaa wa Kadhaa.

Hii Unamaanisha LISSU akisoma, kinakaa kichwan na anakumbukumbu za kiupekee Sanaa na za karibu .


Ila ni kawaida sana Kwa watu wajinga ,wabinafsi , waoga, wasopenda kuchalenjiwa kumdhihaki na kumuona ni Threat.

Ajabu na kweli habari Hii ni mbaya mno kwa mwamba na wafuasi wake.
 
Back
Top Bottom