Lwaitama awapa Mwamba, CCM na wafuasi wao vidonge vyao!

Huhitajiki kua na Elimu ,kwamba umsikilize LISSU alafu usiuone Uwezo mkubwa wa Akili na Karama alizojaaliwa.

LISSU ni MTU anayepatikana Kwa NADRA .

Hotuba zake zote Huwa ni Shule anayotoa , ni ngumu sana kumpata Mtanzania anaongea vitu Kwa Rejea Kadhaa wa Kadhaa.

Hii Unamaanisha LISSU akisoma, kinakaa kichwan na anakumbukumbu za kiupekee Sanaa na za karibu .


Ila ni kawaida sana Kwa watu wajinga ,wabinafsi , waoga, wasopenda kuchalenjiwa kumdhihaki na kumuona ni Threat.
 
1. Lissu ataeleweka na Watanzania wakiwa wamechelewa sana

2. Kuna kizazi kijacho kinachonitambua watutumia rejea za Lissu kujikomboa.

3. Lissu hakupaswa kuzaliwa kwenye nchi kama Tanzania yenye watu wajinga kwa kiwango cha lami, watu wapenda dezo hata kama ni upendeleo wa kihalifu.

Ona aina ya watu wanaomshabikia Mbowe ni watu wachumia tumbo na maskini kichwani...rejea Wenje. Ntobi, Nuerere na vituko wengine
 

Tatizo tuna majinga mengi sana hasa haya mafuasi ya mwamba na yale ya kile chama kingine.

imhotep, Proved, JokaKuu, Tlaatlaah
, wale wengine waliomo na wasiokuwamo au nasema uongo?
 
Mbowe kukaa kimya siyo kwamba ana uvumilivu sana. Hapana.

Amejipima ubongo wake akaona Lisu ni maji marefu ataumbuka.

Huyo ni kama haya ma CCM hapa:



Hoja akaziokote wapi?

Wanadhani shule ni lelemama!
 
Reactions: G4N
Huyo anaejiita X lwaitama sio lwaitama mwenyewe lwaitama mwenyew ni professor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…