Kwake siasa ni biashara nzuriZitto anayapokea maneno haya kwa sikio la kushoto halafu yanatokea sikio la kulia. Huwa haelewi kabisa.
Muungano wa vyama hautawezekana hadi pale wananchi watakapshtuka kuwa mdudue cdm si chama cha siasa bali ni kampuni binafsi inayotumia mgongo wa ccm kwa ajili ya faida ya wanahisa ambao ni mzee Mbowe na Baba mkwe wake.Ukweli mchungu kwa ma CCM na vibaraka wao:
View attachment 2926733
“Mukitaka kufika mbali lazima muwe na sauti ya pamoja hata kama munatofautiana kwa itikadi ya vyama vyenu lakini linapokuja suala la kutetea maslahi ya nchi lazima mushikamane, hamuwezi kuondoa chama kilicho madarakani kwa kujitenga." Amesema Lwaitama.
Tupambanao dhidi ya CCM, letu ni moja. Tunapaswa kuwa wamoja.
"Zimwi likujualo hali kuli likakwisha."
Prof. Lwaitama, muumini wa mfano wa dhana ya jamili ya kutokuwa na maadui au marafiki wa kudumu katika siasa.
Embuu muulizeni mzee Silaa kwa nini aliondoka chadema?Zitto anayapokea maneno haya kwa sikio la kushoto halafu yanatokea sikio la kulia. Huwa haelewi kabisa.
Hamzidi mzee Mbowe ambae amekuwa mwenyeketi wa chama kwa zaidi ya miaka ishirini na zaidi .Tunajua sababu haswa ni maslahi ya familia yake ndio kikwazo kikuuu.Kwake siasa ni biashara nzuri
Mzee alipewe chupa ndogo ya KVant ili tu abebe bendera
Mumeo ameshindwa nini kuanzisha chama mkala kama Mbowe?Hamzidi mzee Mbowe ambae amekuwa mwenyeketi wa chama kwa zaidi ya miaka ishirini na zaidi .Tunajua sababu haswa ni maslahi ya familia yake ndio kikwazo kikuuu.
Mwamba tuvushe ndiyo kikwazo cha kuungana miezi chache iliyopita aliwaambiaje Sauti ya Watanzania alipookuwa Zanzibar, kumwamini huyu mtu ni kupoteza mudaMuungano wa vyama hautawezekana hadi pale wananchi watakapshtuka kuwa mdudue cdm si chama cha siasa bali ni kampuni binafsi inayotumia mgongo wa ccm kwa ajili ya faida ya wanahisa ambao ni mzee Mbowe na Baba mkwe wake.
Ukweli ni Kwamba Mbowe ndiyo TatizoMumeo ameshindwa nini kuanzisha chama mkala kama Mbowe?
Hawezi kuumiza watu kama mzee MboweMumeo ameshindwa nini kuanzisha chama mkala kama Mbowe?
Hatutaweza kupata upunzani wa kweli hapa nchi kwa uwepo wa mzee mbowe kwenye siasa za hila,zilijaa ukabila na udini .
Wewe ndie mwendawazimu haswaaa!Hawezi kuumiza watu kama mzee Mbowe
Sio siri anaharibu future za vijana wengi sana kwenye hii nchi eti anawaita makamnda 🙆♂️🙆♂️🙆♂️Mwamba tuvushe ndiyo kikwazo cha kuungana miezi chache iliyopita aliwaambiaje Sauti ya Watanzania alipookuwa Zanzibar, kumwamini huyu mtu ni kupoteza muda
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Ukabila na undugunization upo CCM.Hatutaweza kupata upunzani wa kweli hapa nchi kwa uwepo wa mzee mbowe kwenye siasa za hila,zilijaa ukabila na udini .
Muulize mzee slaaa alietumika chama kwa uaninifu alivyoumizwa na mzee mbowe bila kusahahu yaliyomkuta chacha wangeeWewe ndie mwendawazimu haswaaa!
Muulize mzee slaaa ,famili ya chacha wangwe na hata ya Ben SaananeNi mwendawazimu pekee atabisha hili!
Leta safu ya ungozi wa chadema ndio utajua ukabila wa huyu mwamba ni wa kiwango cha kutisha,amejaribu saana kumpaisha yule mvuta bangi wa Arusha sio kwamba ana uwezo bali ni kwa kuwa ni binamu yake.Ukabila na undugunization upo CCM.
Hebu elezea ukabila wa CDM au Mbowe