Lwakatale, Silinde na wenzao wameonewa sana na kudhalilishwa sana

Lwakatale, Silinde na wenzao wameonewa sana na kudhalilishwa sana

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
LWAKATALE, SILINDE NA WENZAO WAMEONEWA SANA NA KUDHALILISHWA SANA

Sitaki kujadili juu ya uhalalia ua kutokuwa halali kwenda au kutokwenda Bungeni hili lingeitimishwa na sheria na Miongozo ya CHADEMA kama ingefuatwa wakati wa kuhitimisha jambo lenyewe. Mimi nitajikita kwenye sheria na kanuni zenyewe.👇🏼

KATIBA NA KANUNI ZA CHADEMA ZINASEMA NINI?

Kwanza niweke usahihi kuwa katika chama cha Siasa Katiba ndiyo sheria mama ndiyo maana marekebisho yoyote yanapofanyika hayawezi kufanywa na mtu mmoja.

Lakini kanuni ni muongozo wa chama na marekebisho yaweza kufanywa na mtu yeyote anayeruhusiwa kufanya hivyo. Mfano CHADEMA sheria inampa nafasi katibu mkuu kufanyia marekebisho kanuni za chama pale anapoona inaleta tija. Pamoja na hayo yote hakuna mtu yeyote awe kiongozi au Mwanachama mwenye mamlaka ya kwenda kinyume na ama Katiba au Kanuni.

KWANINI LWAKATALE, SILINDE NA WENGINE WAMEONEWA?
Katiba ya CHADEMA toleo la Mwaka (2019) ibara ya 5.4 na vifungu vyake inazungumzia "kukoma kwa uanachama"
Nitaweka hapa ili twende pamoja.
5.4.1. kwa kujiuzulu mwenyewe kwa hiari yake.
5.4.2 kutokana na kufariki.

Msingi wa hoja yangu ni hapa;
👇🏼
"5.4.3 Kuachishwa ama kufukuzwa na tawi lake ama ngazi nyingine ya chama,kwa mujibu wa katiba kwa kukosa sifa za kuendelea kuwa mwanachama ama kuwa na mwenendo usioendana na Itikadi,Falsafa,Madhumuni,Kanuni,Maadili na Sera za Chama. Mwanachama atakuwa na haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu kama hakuridhika na adhabu hiyo."

Yawezekana kabisa pasipo chembe ya shaka kuwa Lwakatale, Silinde na wenzao wamekiuka hicho kifungu cha katiba na kupelekea kukoma uanachama.

Nini kilipaswa kufanyika kwa mujibu wa katiba hiyohiyo ya CHADEMA?
👇🏼
Ibara ya ;
5.4.4 Bila kuathiri kifungu cha 5.4.3 cha Katiba Kamati Kuu inaweza kumuachisha ama kumfukuza mwanachama yeyote kwa mujibu wa Kanuni za Chama

Nikweli Kamati kuu inayomamlaka kamili na nguvu zote kuwafukuza Lwakatale, Silinde na wenzao na imefanya hivyo. Tatizo kubwa nini hasa? Kwanini waendelee kulalamika? Kwanini jamii inawatetea? Ni kosa la Spika wa Bunge? Nikweli kosa ni CCM? Hapana hayo yote hayawezi kuwa matatizo.

TATIZO NI KAMATI KUU CHINI YA MWENYEKITI WANGU MH FREEMAN MBOWE
Tuone Kanuni za Chama CHADEMA zinasemaje kuhusu kuwachukulia hatua za kinidhamu kwa Kiongozi kama Lwakatale, Silinde na wenzao;
👇🏼
Kanuni za chama
6.5.6 Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila kwanza kupewa mashtakak wa maandishi na mamlaka husika na kupewa nafasi ya kujibu mashtaka kwa maandishi.

6.5.7 kiongozi muhusika, zaidi ya utetezi wa maandishi,atapewa nafasi ya kujieleza bayana mbele ya kikao cha mamlaka ya nidham

6.5.9 Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya msingi ya maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ilik umuwezeaha kuamua kukata rufani au la.

Sasa ndugu zangu!
Hapo Lwakatare , Silinde na wenzao wanakosa gani? Tusijadili masuala haya kishabiki na kuweka kanuni na miongozo yetu pembeni. Kwanini tunaacha kutoa boriti kubwa kwenye mboni za macho yetu na tunakwenda kuhangaika na kibanzi kidogo pembezoni mwa jicho la Spika? Hivi kama tungefuata taratibu stahiki na miongozo ya chama katika kuhitimisha safari ya wenzetu ndani ya chama kulikuwa na tatiz gani?

Ndugu yangu Tundu Lissu nakuheshimu sana sana kiongozi kwanini hukushauri hili jambo la kisheria wakati wewe ni muumini mkubwa wa kuchukia matumizi mabovu na uvunjwaji wa Sheria? Kaka yangu Lema utu wa mwanadamu na kheshima kwa hawa wenzetu waliokiuka maagizo na tamko la chama kwanini hujawatetea?
Ndugu zangu, zamani tulikuwa tunaanza na Mungu kisha tunamaliza na Mungu kwenye hili la akina Lwakatale, Silinde na wenzie mlipata hasira kiasi gani hata mlishindwa Kuanza na Mungu kisha kumaliza na Mungu ili kuweka kumbukumbu sahihi? Kaka yangu Mchungaji Msigwa hapa neno la kichungaji katika ugawaji wa haki linasema nini hasa,tumeamua kufanya yaleyale ya akina Pilato enzi za kesi ya Yesu? Dada yangu Halima hapo vipi, Mbona kama hapajakaa sawa? Myika kaka wewe ni katibu Mkuu cheo ambacho najua unakimudu maana umekulia hapo lakini unawezaje kujitokeza kutangaza maazimio ambayo kwadhamira ya dhati kabisa unajua yanahila ndani yake? Hata kama ni kuwachoka wenzenu kwanini msifuate sheria mbona bado ninyin diyo wenye mamlaka na madaraka ya kuhitimisha hayo hofu ya nini?

Mshaurini Mwenyekiti vizuri hizi frastruations za kisiasa zisifanye muumizane kwa namna hii. Tanzania bado tunahitaji upinzani makini na wenye weredi ili kujenga na kuendeleza siasa za ushindani.

Baraza la vijana Bavicha kisima cha tafakuri lilifutwa? Au ndiyo kila jambo litakalo fanywa na kuamriwa na kamati kuu linakuwa sahihi? Wale ni wanadamu waambieni hii fukuzana bila kufuata taratibu utakua mchezo utawanogea kesho yenu itakua ngumu sana hasa kufikiri tofauti na wakubwa.

Hawa tunao washughulikia leo bila kufuata taratibu na kanuni zetu niwenzetu tumeumia pamoja, tulilala pamoja na tulimaliza pamoja. Siyo lazima kuwatunza wanapokosea lakini kufuata sheria kuna shida gani ili kuhitimisha vyema?

Haya, sasa leo tunawezaje kufungua katiba ili kumzodoa Spika wakati tumejaa Uchafu na dhurma kwenye mikono yetu? Kuna pahala hapajakaa sawa.

WAPENDA DEMOKRASIA KEMEENI HILI KWANI KIMYA CHETU NI HATARI KWETU NA KWADEMOKRASIA YETU, KULIKO KELELE ZA MAADUI WA DEMOKRASIA YETU.

Philipo Mwakibinga
0758910403
 
wafuasi wa mbowe hawaelewi na wafuasi wa ndungai pia hawaelewi.
lkn upinzani ilibidi waonyeshe weledi zaidi kwa sababu wanatafuta kuungwa mkono ili kupata wabunge wengi ama kuchukua dola.
kama na wao wapinzani wanavurunda hamna jipya sasa.sio kosa kuingia vikao vya bunge ila ni kosa kwa mbunge kutokuingia vikao vya bunge bila sababu ya msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa hatuwez tukaexercise true siasa huwa tunaendesha siasa kwa hisia nasio kwa utashi na busara,busara ni muhimu sana kung'amua mambo,wapinzani wa bongo ni sawa mtungi uliokosa gesi huwa hauwaki ila ukiujaza gesi unawaka tena na kelele juu.

Chama tawala napo hapaelezeki....

I need popcorn.
 
Mimi naona umeandika ujinga mtupu, hivi kweli Selasini aliposema tena ndani ya Bunge, kuwa nimehamia NCCR Mageuzi, lakini nitabaki Chadema kwa ajili ya kumalizia ubunge wangu. Kwako wewe kichwa maji hukuelewa kuwa ashajifukuzisha chama?
Hivi alivyoongea Silinde, kuwa alichaguliwa na wananchi sio chama, na hata akiondoka Chadema atagombea kwa chama kingine. Je? Hukuona kuwa amekidhalilisha chama?
Hivi nikuulize Komu alivyosema atagombea ubunge kwa tiketi ya NCCR, hukuona kama amejiondoa kwenye chama?
Lwakatare aliongelea bungeni kuhusu kustaafu ubunge na siasa, pamoja na kujivua nafasi zote za chama, hapo huoni kuwa aliongelea mambo ya chama sehemu isio sahihi, kwani wewe lini umekuwa mwanachama wa CDM? Acha kutuletea utopolo wako hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila jambo lina mipaka na ukomo wake. Hatua hizo ni muafaka kwa kuwaziba mdomo kuendeleza damage kwa chama, walifanya mambo ya kihuni kujioa mtaji usio wao,sasa wamejibiwa kwa mkato pia kushusha thamani na beibyao mbele ya mbwana wao. Hawana tena jipya kuita kikao waandishi eti najivua uanachama.Hata bei yao sokoni imeporomoka sana si kwa ccm A,walabB Nccr,na kwa wanaichi pia.Ndani ya mwezi watapotea hata ccm wanaojaribu watetea leo hutawasikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wafuasi wa mbowe hawaelewi na wafuasi wa ndungai pia hawaelewi.
lkn upinzani ilibidi waonyeshe weledi zaidi kwa sababu wanatafuta kuungwa mkono ili kupata wabunge wengi ama kuchukua dola.
kama na wao wapinzani wanavurunda hamna jipya sasa.sio kosa kuingia vikao vya bunge ila ni kosa kwa mbunge kutokuingia vikao vya bunge bila sababu ya msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamevurunda wapi?
WAtu ambao washalipwa na CCM na wameambiwa wavuruge chama ni muda wa kuwabembeleza?
Unafikiri intelijensia ya CHADEMA ni ya TLP?
Kubenea, Komu, mkakati wa kumuua Boni Jacob na zile clip umesikia polisi wakishughulikia kosa la jinai la kupanga kuua?
 
LWAKATALE, SILINDE NA WENZAO WAMEONEWA SANA NA KUDHALILISHWA SANA

Sitaki kujadili juu ya uhalalia ua kutokuwa halali kwenda au kutokwenda Bungeni hili lingeitimishwa na sheria na Miongozo ya CHADEMA kama ingefuatwa wakati wa kuhitimisha jambo lenyewe. Mimi nitajikita kwenye sheria na kanuni zenyewe.👇🏼

KATIBA NA KANUNI ZA CHADEMA ZINASEMA NINI?

Kwanza niweke usahihi kuwa katika chama cha Siasa Katiba ndiyo sheria mama ndiyo maana marekebisho yoyote yanapofanyika hayawezi kufanywa na mtu mmoja.

Lakini kanuni ni muongozo wa chama na marekebisho yaweza kufanywa na mtu yeyote anayeruhusiwa kufanya hivyo. Mfano CHADEMA sheria inampa nafasi katibu mkuu kufanyia marekebisho kanuni za chama pale anapoona inaleta tija. Pamoja na hayo yote hakuna mtu yeyote awe kiongozi au Mwanachama mwenye mamlaka ya kwenda kinyume na ama Katiba au Kanuni.

KWANINI LWAKATALE, SILINDE NA WENGINE WAMEONEWA?
Katiba ya CHADEMA toleo la Mwaka (2019) ibara ya 5.4 na vifungu vyake inazungumzia "kukoma kwa uanachama"
Nitaweka hapa ili twende pamoja.
5.4.1. kwa kujiuzulu mwenyewe kwa hiari yake.
5.4.2 kutokana na kufariki.

Msingi wa hoja yangu ni hapa;
👇🏼
"5.4.3 Kuachishwa ama kufukuzwa na tawi lake ama ngazi nyingine ya chama,kwa mujibu wa katiba kwa kukosa sifa za kuendelea kuwa mwanachama ama kuwa na mwenendo usioendana na Itikadi,Falsafa,Madhumuni,Kanuni,Maadili na Sera za Chama. Mwanachama atakuwa na haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu kama hakuridhika na adhabu hiyo."

Yawezekana kabisa pasipo chembe ya shaka kuwa Lwakatale, Silinde na wenzao wamekiuka hicho kifungu cha katiba na kupelekea kukoma uanachama.

Nini kilipaswa kufanyika kwa mujibu wa katiba hiyohiyo ya CHADEMA?
👇🏼
Ibara ya ;
5.4.4 Bila kuathiri kifungu cha 5.4.3 cha Katiba Kamati Kuu inaweza kumuachisha ama kumfukuza mwanachama yeyote kwa mujibu wa Kanuni za Chama

Nikweli Kamati kuu inayomamlaka kamili na nguvu zote kuwafukuza Lwakatale, Silinde na wenzao na imefanya hivyo. Tatizo kubwa nini hasa? Kwanini waendelee kulalamika? Kwanini jamii inawatetea? Ni kosa la Spika wa Bunge? Nikweli kosa ni CCM? Hapana hayo yote hayawezi kuwa matatizo.

TATIZO NI KAMATI KUU CHINI YA MWENYEKITI WANGU MH FREEMAN MBOWE
Tuone Kanuni za Chama CHADEMA zinasemaje kuhusu kuwachukulia hatua za kinidhamu kwa Kiongozi kama Lwakatale, Silinde na wenzao;
👇🏼
Kanuni za chama
6.5.6 Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila kwanza kupewa mashtakak wa maandishi na mamlaka husika na kupewa nafasi ya kujibu mashtaka kwa maandishi.

6.5.7 kiongozi muhusika, zaidi ya utetezi wa maandishi,atapewa nafasi ya kujieleza bayana mbele ya kikao cha mamlaka ya nidham

6.5.9 Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya msingi ya maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ilik umuwezeaha kuamua kukata rufani au la.

Sasa ndugu zangu!
Hapo Lwakatare , Silinde na wenzao wanakosa gani? Tusijadili masuala haya kishabiki na kuweka kanuni na miongozo yetu pembeni. Kwanini tunaacha kutoa boriti kubwa kwenye mboni za macho yetu na tunakwenda kuhangaika na kibanzi kidogo pembezoni mwa jicho la Spika? Hivi kama tungefuata taratibu stahiki na miongozo ya chama katika kuhitimisha safari ya wenzetu ndani ya chama kulikuwa na tatiz gani?

Ndugu yangu Tundu Lissu nakuheshimu sana sana kiongozi kwanini hukushauri hili jambo la kisheria wakati wewe ni muumini mkubwa wa kuchukia matumizi mabovu na uvunjwaji wa Sheria? Kaka yangu Lema utu wa mwanadamu na kheshima kwa hawa wenzetu waliokiuka maagizo na tamko la chama kwanini hujawatetea?
Ndugu zangu, zamani tulikuwa tunaanza na Mungu kisha tunamaliza na Mungu kwenye hili la akina Lwakatale, Silinde na wenzie mlipata hasira kiasi gani hata mlishindwa Kuanza na Mungu kisha kumaliza na Mungu ili kuweka kumbukumbu sahihi? Kaka yangu Mchungaji Msigwa hapa neno la kichungaji katika ugawaji wa haki linasema nini hasa,tumeamua kufanya yaleyale ya akina Pilato enzi za kesi ya Yesu? Dada yangu Halima hapo vipi, Mbona kama hapajakaa sawa? Myika kaka wewe ni katibu Mkuu cheo ambacho najua unakimudu maana umekulia hapo lakini unawezaje kujitokeza kutangaza maazimio ambayo kwadhamira ya dhati kabisa unajua yanahila ndani yake? Hata kama ni kuwachoka wenzenu kwanini msifuate sheria mbona bado ninyin diyo wenye mamlaka na madaraka ya kuhitimisha hayo hofu ya nini?

Mshaurini Mwenyekiti vizuri hizi frastruations za kisiasa zisifanye muumizane kwa namna hii. Tanzania bado tunahitaji upinzani makini na wenye weredi ili kujenga na kuendeleza siasa za ushindani.

Baraza la vijana Bavicha kisima cha tafakuri lilifutwa? Au ndiyo kila jambo litakalo fanywa na kuamriwa na kamati kuu linakuwa sahihi? Wale ni wanadamu waambieni hii fukuzana bila kufuata taratibu utakua mchezo utawanogea kesho yenu itakua ngumu sana hasa kufikiri tofauti na wakubwa.

Hawa tunao washughulikia leo bila kufuata taratibu na kanuni zetu niwenzetu tumeumia pamoja, tulilala pamoja na tulimaliza pamoja. Siyo lazima kuwatunza wanapokosea lakini kufuata sheria kuna shida gani ili kuhitimisha vyema?

Haya, sasa leo tunawezaje kufungua katiba ili kumzodoa Spika wakati tumejaa Uchafu na dhurma kwenye mikono yetu? Kuna pahala hapajakaa sawa.

WAPENDA DEMOKRASIA KEMEENI HILI KWANI KIMYA CHETU NI HATARI KWETU NA KWADEMOKRASIA YETU, KULIKO KELELE ZA MAADUI WA DEMOKRASIA YETU.

Philipo Mwakibinga
0758910403
Mwakibinga anzisha chama chako uwasajili kama umeona wameonewa.
 
LWAKATALE, SILINDE NA WENZAO WAMEONEWA SANA NA KUDHALILISHWA SANA

Sitaki kujadili juu ya uhalalia ua kutokuwa halali kwenda au kutokwenda Bungeni hili lingeitimishwa na sheria na Miongozo ya CHADEMA kama ingefuatwa wakati wa kuhitimisha jambo lenyewe. Mimi nitajikita kwenye sheria na kanuni zenyewe.👇🏼

KATIBA NA KANUNI ZA CHADEMA ZINASEMA NINI?

Kwanza niweke usahihi kuwa katika chama cha Siasa Katiba ndiyo sheria mama ndiyo maana marekebisho yoyote yanapofanyika hayawezi kufanywa na mtu mmoja.

Lakini kanuni ni muongozo wa chama na marekebisho yaweza kufanywa na mtu yeyote anayeruhusiwa kufanya hivyo. Mfano CHADEMA sheria inampa nafasi katibu mkuu kufanyia marekebisho kanuni za chama pale anapoona inaleta tija. Pamoja na hayo yote hakuna mtu yeyote awe kiongozi au Mwanachama mwenye mamlaka ya kwenda kinyume na ama Katiba au Kanuni.

KWANINI LWAKATALE, SILINDE NA WENGINE WAMEONEWA?
Katiba ya CHADEMA toleo la Mwaka (2019) ibara ya 5.4 na vifungu vyake inazungumzia "kukoma kwa uanachama"
Nitaweka hapa ili twende pamoja.
5.4.1. kwa kujiuzulu mwenyewe kwa hiari yake.
5.4.2 kutokana na kufariki.

Msingi wa hoja yangu ni hapa;
👇🏼
"5.4.3 Kuachishwa ama kufukuzwa na tawi lake ama ngazi nyingine ya chama,kwa mujibu wa katiba kwa kukosa sifa za kuendelea kuwa mwanachama ama kuwa na mwenendo usioendana na Itikadi,Falsafa,Madhumuni,Kanuni,Maadili na Sera za Chama. Mwanachama atakuwa na haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu kama hakuridhika na adhabu hiyo."

Yawezekana kabisa pasipo chembe ya shaka kuwa Lwakatale, Silinde na wenzao wamekiuka hicho kifungu cha katiba na kupelekea kukoma uanachama.

Nini kilipaswa kufanyika kwa mujibu wa katiba hiyohiyo ya CHADEMA?
👇🏼
Ibara ya ;
5.4.4 Bila kuathiri kifungu cha 5.4.3 cha Katiba Kamati Kuu inaweza kumuachisha ama kumfukuza mwanachama yeyote kwa mujibu wa Kanuni za Chama

Nikweli Kamati kuu inayomamlaka kamili na nguvu zote kuwafukuza Lwakatale, Silinde na wenzao na imefanya hivyo. Tatizo kubwa nini hasa? Kwanini waendelee kulalamika? Kwanini jamii inawatetea? Ni kosa la Spika wa Bunge? Nikweli kosa ni CCM? Hapana hayo yote hayawezi kuwa matatizo.

TATIZO NI KAMATI KUU CHINI YA MWENYEKITI WANGU MH FREEMAN MBOWE
Tuone Kanuni za Chama CHADEMA zinasemaje kuhusu kuwachukulia hatua za kinidhamu kwa Kiongozi kama Lwakatale, Silinde na wenzao;
👇🏼
Kanuni za chama
6.5.6 Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila kwanza kupewa mashtakak wa maandishi na mamlaka husika na kupewa nafasi ya kujibu mashtaka kwa maandishi.

6.5.7 kiongozi muhusika, zaidi ya utetezi wa maandishi,atapewa nafasi ya kujieleza bayana mbele ya kikao cha mamlaka ya nidham

6.5.9 Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya msingi ya maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ilik umuwezeaha kuamua kukata rufani au la.

Sasa ndugu zangu!
Hapo Lwakatare , Silinde na wenzao wanakosa gani? Tusijadili masuala haya kishabiki na kuweka kanuni na miongozo yetu pembeni. Kwanini tunaacha kutoa boriti kubwa kwenye mboni za macho yetu na tunakwenda kuhangaika na kibanzi kidogo pembezoni mwa jicho la Spika? Hivi kama tungefuata taratibu stahiki na miongozo ya chama katika kuhitimisha safari ya wenzetu ndani ya chama kulikuwa na tatiz gani?

Ndugu yangu Tundu Lissu nakuheshimu sana sana kiongozi kwanini hukushauri hili jambo la kisheria wakati wewe ni muumini mkubwa wa kuchukia matumizi mabovu na uvunjwaji wa Sheria? Kaka yangu Lema utu wa mwanadamu na kheshima kwa hawa wenzetu waliokiuka maagizo na tamko la chama kwanini hujawatetea?
Ndugu zangu, zamani tulikuwa tunaanza na Mungu kisha tunamaliza na Mungu kwenye hili la akina Lwakatale, Silinde na wenzie mlipata hasira kiasi gani hata mlishindwa Kuanza na Mungu kisha kumaliza na Mungu ili kuweka kumbukumbu sahihi? Kaka yangu Mchungaji Msigwa hapa neno la kichungaji katika ugawaji wa haki linasema nini hasa,tumeamua kufanya yaleyale ya akina Pilato enzi za kesi ya Yesu? Dada yangu Halima hapo vipi, Mbona kama hapajakaa sawa? Myika kaka wewe ni katibu Mkuu cheo ambacho najua unakimudu maana umekulia hapo lakini unawezaje kujitokeza kutangaza maazimio ambayo kwadhamira ya dhati kabisa unajua yanahila ndani yake? Hata kama ni kuwachoka wenzenu kwanini msifuate sheria mbona bado ninyin diyo wenye mamlaka na madaraka ya kuhitimisha hayo hofu ya nini?

Mshaurini Mwenyekiti vizuri hizi frastruations za kisiasa zisifanye muumizane kwa namna hii. Tanzania bado tunahitaji upinzani makini na wenye weredi ili kujenga na kuendeleza siasa za ushindani.

Baraza la vijana Bavicha kisima cha tafakuri lilifutwa? Au ndiyo kila jambo litakalo fanywa na kuamriwa na kamati kuu linakuwa sahihi? Wale ni wanadamu waambieni hii fukuzana bila kufuata taratibu utakua mchezo utawanogea kesho yenu itakua ngumu sana hasa kufikiri tofauti na wakubwa.

Hawa tunao washughulikia leo bila kufuata taratibu na kanuni zetu niwenzetu tumeumia pamoja, tulilala pamoja na tulimaliza pamoja. Siyo lazima kuwatunza wanapokosea lakini kufuata sheria kuna shida gani ili kuhitimisha vyema?

Haya, sasa leo tunawezaje kufungua katiba ili kumzodoa Spika wakati tumejaa Uchafu na dhurma kwenye mikono yetu? Kuna pahala hapajakaa sawa.

WAPENDA DEMOKRASIA KEMEENI HILI KWANI KIMYA CHETU NI HATARI KWETU NA KWADEMOKRASIA YETU, KULIKO KELELE ZA MAADUI WA DEMOKRASIA YETU.

Philipo Mwakibinga
0758910403
Akina Lwakatare ni makapi yanayopeperushwa na upepo wa homa ya uchaguzi 2020.
 
Mimi naona umeandika ujinga mtupu, hivi kweli Selasini aliposema tena ndani ya Bunge, kuwa nimehamia NCCR Mageuzi, lakini nitabaki Chadema kwa ajili ya kumalizia ubunge wangu. Kwako wewe kichwa maji hukuelewa kuwa ashajifukuzisha chama?
Hivi alivyoongea Silinde, kuwa alichaguliwa na wananchi sio chama, na hata akiondoka Chadema atagombea kwa chama kingine. Je? Hukuona kuwa amekidhalilisha chama?
Hivi nikuulize Komu alivyosema atagombea ubunge kwa tiketi ya NCCR, hukuona kama amejiondoa kwenye chama?
Lwakatare aliongelea bungeni kuhusu kustaafu ubunge na siasa, pamoja na kujivua nafasi zote za chama, hapo huoni kuwa aliongelea mambo ya chama sehemu isio sahihi, kwani wewe lini umekuwa mwanachama wa CDM? Acha kutuletea utopolo wako hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue sio kutamka bungeni kwa chama chake ni kuandika barua ya kuacha uanachama Bungeni Wana kinga waweza tamka chochote na wewe uliye nje Huwezi wachukulia hatua yeyote uwe kamati kuu ya CCM au chadema!!! Wana immunity!!! Huwezi mkalia mbunge kumtolea maaumuzi kwa kuweko bungeni au kwa aliyotamka bungeni!! AU HUJUI HILO

Ya ndani ya bunge yaache huko huko Wana immunity
 
Akina Lwakatare ni makapi yanayopeperushwa na upepo wa homa ya uchaguzi 2020.
ILA wanashawishiwa na nguvu kubwa nyuma na vitisho kama usipotii unapewa uhujumu uchumi, wachache wameweza kusimama mpaka sasa kama lema na wenzao.
Ni wa kuwasamehe tu, CCM -Jiwe anatumia nguvu nyingi sana dhidi ya upinzani
 
Kiongozi ni dira...kiongozi ni lazima aonyeshe mfano wa nidhamu katika taasisi yoyote ile anayoiongoza. Mbunge ni kiongozi ndani ya chama, Senior.

Sasa kiongozi anapoamua kupinga mawazo ya wenzake walio wengi...mbali zaidi kuita media na kuendelea kibwabwaja huku akijua fika kabisa kufanya hivyo ni ukosefu uliopitiliza wa nidhamu, haya ndiyo matokeo yake..watakutimua tu hata kama ingekuwa CCM haiwezi kukuvumilia vitendo vya namna hii.

Kwa hiyo kiongozi kama huyu ndani ya taasisi anakuwa ni kirusi, ni lazima awe isolated immediately ili taasisi wabakie salama na ndicho kilichofanyika.

Kama wabunge wote let's say 60 wameridhia kukaa karantini kuonyesha kwa mfano kwamba COVID ni deadly disease; kati ya hao 60 nyie 10 tu ndiyo mgome?
Hamjui demokrasia ilivyo? wengi wakiamua basi lazima kuungana nao...kama hutaki basi zipo taratibu za kichama & kitaasisi za kupinga mawazo ya wengi...Demokrasia ina machangu na matamu yake kwa hiyo uwe tayari muda wote kuyapokea yanavyokuja.

Huyo anayewapa jeuri hana chama...CCM ina wenyewe mtadhalilika sana kisiasa msipokuwa makini.
 
Wamevurunda wapi?
WAtu ambao washalipwa na CCM na wameambiwa wavuruge chama ni muda wa kuwabembeleza?
Unafikiri intelijensia ya CHADEMA ni ya TLP?
Kubenea, Komu, mkakati wa kumuua Boni Jacob na zile clip umesikia polisi wakishughulikia kosa la jinai la kupanga kuua?
rwakatare ana wadhifa gani chadema ?
acheni siasa za uzushi rwakare kanunuliwa shi ngapi na ccm?
yani mtu akiwa na mawazo tofauti na mwenyekiti basi kanunuliwa ?
ni watu wangapi makini wamehama chadema imma kwa kufukuzwa ama vinginevyo kwa kosa tu la kuwa tofauti na mwenyekiti ?
yani mwenyekiti ndo mungu akosei wanaohama ama kifukuzwa chama woote wananunuliwa na ccm ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watapotea kwenye siasa kama kina shibuda,mpendazoe,lembeli,said arfi na wengineo muda utaongea tu
 
rwakatare ana wadhifa gani chadema ?
acheni siasa za uzushi rwakare kanunuliwa shi ngapi na ccm?
yani mtu akiwa na mawazo tofauti na mwenyekiti basi kanunuliwa ?
ni watu wangapi makini wamehama chadema imma kwa kufukuzwa ama vinginevyo kwa kosa tu la kuwa tofauti na mwenyekiti ?
yani mwenyekiti ndo mungu akosei wanaohama ama kifukuzwa chama woote wananunuliwa na ccm ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Maamuzi yaliyofanywa ni ya Mwenyekiti ama kamati kuu, mbona uko kama UFUDU?
Unajua maana ya Kamati kuu? hukuona Mwenyekiti akiendesha kikao kupitia tele conference?
Ulitaka awakusanye watu wakati kisha waambie kutokana na "KOONA"?

Tatizo la UVCCMwengi hamna elimu, wenye elimu wapo matawi ya chama nje ya nchi, wakija huku ni kuchukua Ubunge tu, nyie mnabaki walamba nyayo
 
Hizi sio nyakati za kina sultani na mwinyi kwamba amri inatoka sehemu moja tu,inatekelezwa...Karne ya 21 hii.Hadi Iran anamvimbia Marekani....Wakati wa amri amri ushapita.
 
Back
Top Bottom