Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
R.I.P Sokoine, R.I.P Imran Kombe, R.I.P Karume R.I.P Daudi Mwangosi, R.I.P Kolimba.
Damu za Mashujaa hao zilizomwagwa na CCM ni laana tosha kwa kifo cha milele cha CCM na serikali yake.
Umesahau kubwa zaidi,
R.I.P
Baba wa Taifa na mtetezi wa wanyonge Mzee Julius Kambarage Nyerere,
Ulienda London unatembea akarudi ukiwa kwenye jeneza!