Sosinsa Unswe
Member
- Oct 30, 2016
- 91
- 76
Wabongo tunaongea sana ndio maana tunapitwa na nchi kama Kenya ambazo hazina rasilimali kama hapa.Rais kajibu vizuri sana na ndio jibu alikostahili kupewa Rwakatale,
Jamani muangalieni Antony Mtaka mkuu wa mkoa wa Simiyu.juzi tu kafika kule,kachukua vijana wasomi na wasio wasomi,kakaa nao chini akawaambia waandike proporsal ya nini kifanyike ktk mkoa wao.wamekuja na miradi kibao kumbuka Kagera ni moja ya mikoa yenye wasomi sana.
Wale vijana wakaja na vitu kibao,mwisho wa siku mkuu wa Mkoa aka prioritize zile proporsal.Wakaanza na Chaki,na Maziwa.ni rasilimali zilizipo hapo hapo na Singida ndiko wanatoa material ya Chaki.Juzi rais wa ZNZ kaenda kununua Chaki za ZNZ nzima toka Simiyu.huoni kama sasa hivi Simiyu ni hot cake?kilichosaidia ni Mtaka kuunganisha mawazo ya vijana wasomi na wasio wasomi na wenye upeo mkubwa na wametokana kitu.Next time anakuja a Chupa za Drip za mahospitali ambazo malighafi yake ni Pamba na Simiyu ni mmoja wa wazalishaji wakubwa wa Pamba.sasa hivi wizara ya afya wanaagiza chupa hizo toka Uganda.
Sasa niambie huyo Rwakatale kwa ushawishi wake wa kisiasa kama Rais wa mkoa ameshindwa nini?na sio yeye tu na wakuu wa mikoa wengine wana rasilimali kibao mikoani mwao lakini wanalia lia kama huko Rukwa.
Jamani tusiongee kama hatuna vichwa tuwe sehemu ya mabadiliko tunayoyataka.
Big up Magufuli,Big up Antony Mtaka,Big up Watu wa Simiyu.
Nakupenda Tanzania nchi yenye maziwa na asali ambayo watu wake waliowengi hawaioni.
Jamani muangalieni Antony Mtaka mkuu wa mkoa wa Simiyu.juzi tu kafika kule,kachukua vijana wasomi na wasio wasomi,kakaa nao chini akawaambia waandike proporsal ya nini kifanyike ktk mkoa wao.wamekuja na miradi kibao kumbuka Kagera ni moja ya mikoa yenye wasomi sana.
Wale vijana wakaja na vitu kibao,mwisho wa siku mkuu wa Mkoa aka prioritize zile proporsal.Wakaanza na Chaki,na Maziwa.ni rasilimali zilizipo hapo hapo na Singida ndiko wanatoa material ya Chaki.Juzi rais wa ZNZ kaenda kununua Chaki za ZNZ nzima toka Simiyu.huoni kama sasa hivi Simiyu ni hot cake?kilichosaidia ni Mtaka kuunganisha mawazo ya vijana wasomi na wasio wasomi na wenye upeo mkubwa na wametokana kitu.Next time anakuja a Chupa za Drip za mahospitali ambazo malighafi yake ni Pamba na Simiyu ni mmoja wa wazalishaji wakubwa wa Pamba.sasa hivi wizara ya afya wanaagiza chupa hizo toka Uganda.
Sasa niambie huyo Rwakatale kwa ushawishi wake wa kisiasa kama Rais wa mkoa ameshindwa nini?na sio yeye tu na wakuu wa mikoa wengine wana rasilimali kibao mikoani mwao lakini wanalia lia kama huko Rukwa.
Jamani tusiongee kama hatuna vichwa tuwe sehemu ya mabadiliko tunayoyataka.
Big up Magufuli,Big up Antony Mtaka,Big up Watu wa Simiyu.
Nakupenda Tanzania nchi yenye maziwa na asali ambayo watu wake waliowengi hawaioni.