Lwakatare aomba Bukoba wapunguziwe kodi vifaa vya ujenzi, Magufuli amjibu ajenge kiwanda awapunguzie

Hata mimi simwelewi ni maskini gani hao anaowazungumzia!
 
Utakuwa hujui unalolijadili, au unalipotosha kwa makusudi. Baada ya tetemeko kule Kagera baadhi ya wafanyabiashara (wa maduka ya jumla) walikubali kupunguza kwa kiasi kidogo bei ya mahitaji muhimu kama mabati na sementi ili kusaidia wahanga. Na walifanya hivyo baada ya kuhamasishwa tu na viongozi huko Kagera.

Alichokuwa anakiomba mbunge Rwakatare, ni Rais kutumia ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa nchi, kuwaomba wenye viwanda vya simenti na mabati kupeleka mahitaji hayo kwa wanakagera kwa bei dogo, na serikali inayojali kweli masikini (sio inayopiga porojo ya kujali masikini) jambo hilo ni rahisi kwa kuwa serikali inaweza kukaa na wenye viwanda na kufikia mwafaka ambao utawapa nafuu wenye viwanda kwa namna nyingine, wakati wakiwasaidia wahanga wa tetemeko kwa kuwapunguzia bei ya mahitaji ya ujenzi. Sasa kama hao wafanyabiashara waliweza japo kwa kiwango kidogo kwanini viwanda vishindwe?

Hili la kuwaambia wasubiri kiwanda kijengwe huko Kagera lina uhusiano gani na ombi la mbunge leo? Au wewe na mwenye hoja unayoishangilia mlimaanisha kwamba wana Kagera waanze sasa kujenga viwanda vya sementi na mabati ili wakipatwa na tetemeko jingine huko mbele ya safari viwanda hivyo vitawapunguzia bei, siyo?
 
Hawa watu wa bukoba nao bana,wanachosha sana,mara ukimwi,mara juliana,mara tetemeko,mara katerelo,mara mto ngono,,ha ha ha.

Si wajiunge na rwanda au uganda,sisi tumechoka bana
 
Tetemeko: Magufuli vs Museveni
 
Nyie Leo hii akipunguza kodi ya hivyo vifaa mtakuwa wa kwanza kushangilia hapa jukwaani,!
Ndio hapo nashangaa akili za hawa viumbe!Yaani hilo likitokea utashangaa wanavyosifu
 
kuna kitu kinaitwa government subsidy. ipo kwenye pembejeo za kilimo. alichoomba Rwakatare ni equivalent yake kwenye vifaa vya ujenzi, which makes sense.

ila sikupenda Rwakatare alivokuwa anaongea. hana comfo kabisa utafikiri ni mwanafunzi yupo mbele ya headteacher anajitetea kitu. hivi ninyi nshomile mkoje??? aahrr!!
 
Yan hela zao zmejenga miundombinu ya serikali na bado wanakandamizwa tuuu
 
Huyu jamaa akishindwa uraisi 2020 lazima ang'ang'anie. Sidhan km hatokubali kutoka.
Kila mtu abebe msalaba wake. Acha tuisome namba vizuri. 2020 wampe nchi tena ili tuzid kuheshimiana sidhani wale kijan wanawacheka wapiga deki. SAFI SANA. ALETE NA KODI YA KICHWA NA AJIRA ASITOE KBSA NA UHAKIKI UENDELEEE MILELE.
 
Kajibu vizuri tu tatizo humu jf wakikuchukia hata ufanye mema kiasi gani watajifanya wameziba macho. Alivyokua hajafika Kagera walikua wanapiga kelele sasa hivi ameenda wanatafuta sababu nyingine.
 
Maisha ya kutegemea serikali ikufanyie kila kitu yamekwisha kila mtu abebe msalaba wake now.
 
LWAKATARE ALIOMBA WAPUNGUZIWE KODI KATIKA VIFAA VYA UJENZI ILI WANANCHI WAWE NA UWEZO KUNUNUA LAKINI MAJIBU YAKE ALIPEWA CHANGAMOTO AKAJENGE KIWANDA CHA BATI ILI AUZE KWA BEI ANAYOTAKA
 
Magufuli ni mwiba kwa waliodumaa akili ufipa kila siku ni kulialia tu wapewe msaada, lakini Magufuli ni nuru kwa wanaotaka changamoto mpya na kijikwamua kimaisha.
Wapewe bilion 16 zao kwani kuna umuhim gan wajenge uwanja chato na sio kuweka ruzuku kwa waanga Lupyeee unauza wa tanzania wenzio kwa elf 7
 
Hivi unajua procedure za kuanzisha kiwanda?? Hili tukio hujui ni la dharura ?? Kwa hyo hao wananchi wakae kwenye mahema mpaka kiwanda kitengemae?? Seriously??
Kwani knachofanya bei ipande si SHIFTABLE TAX je serikali ikiipunguza kutokea kwa manufacturer au kwa wanayoyaingiza ili wao wayauze kwa bei ya kiwandani haiwezekani??? Hvi hakuna hta percent ya misaada ya mabilioni waseme itasaidia kusafirisha mabati hayo ya bei rahisi either kutokea dar au hta kampala ili wajenge maana ni tukio la dharura..... afu ruttashoborwa unashabikia kabisa??? Hvi kweli wataalam wa mambo ya makazi kma tibaijuka naye anacheka tu as if hana idea ya kumsaidia kumshauri rais aliangalie suala hilo kwa upana zaidi maana hapo ni INCENTIVES tu kma mifano aliotolea lwakatare na serikali ilikwisha fanya zamani sasa hilo ndo lakujibiwa kipapara bila kufkiria mara mbili au hta kutoa nafasi ashauriwe kabla hajasema conclusion???
HII NCHI HII SO PATHETIC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…