Lwandamila Must Be Axed

Basi alitakiwa ampigie simu Lwandamina personally ili ujumbe umfikie mubashara.

Naamini hata angekuwa ameandika kilatini ujumbe ungemfikia tu sababu waka wakalimani wamejaa hivyo, hoja yako kuhusu lugha ni dhaifu sana.

Mfano mimi saivi sijui kichina ila ukinitukana kwa kichina nitatafuta mkalimani na nitaelewa.
 
Mkuu kati ya mambo yote tunayopigia kelele umeona moja tu ambalo nalo haujaweza kushawishi hoja yako lakini pia sijui wewe ni shabiki, mwanachama ama kiongozi Yanga. Make inavyoonekana ni kana kwamba sisi hapa tunaongea umbeya hivi na wewe unajitaidi kutusilence. Haina ubaya lakini
 
Elewa na ujitaidi kuwa positive. Hapa isigeuzwe ishu kuwa "lugha" iliyotumika. Maana kubwa ya kuandika hivi ndo jambo muhimu na kwa njia gani ujumbe unafika isifanywe hoja kwani mwisho wa siku ipo siku mlengwa atajisomea mwenyewe ama kuoneshwa. Ataelewa na hataitaji tafsiri ya mtu awaye. Kwanini ujumbe utafsiriwe na wakati msomaji ana lugha yake ambayo tunaweza kuongea naye mubashara? Whether verbal/Non ili siyo tatizo katu

So far tunajua kuwa mpo kwenye masrahi zaidi ya yale ya kwetu sie mashabiki na ndo hicho kinawapa ukakasi na kudistort kila kitu kutoka kwetu ila kama kweli mnatuitaji mashabiki uwanjani na popote pale kwa ajiri ya mafanikio ya Yanga basi tuna imani kubwa kuwa ipo siku mtatuelewa tu.
 
Sawa mkuu ngoja niwe positive na nisubiri Lwandamina atajibu nini!!
 
Mkuu Rweye ulichoongea ni ukweli mtupu wanaopinga waache,siku si nyingi watakuwa pamoja na wewe.Na nina uhakika kuanzia mechi ni Mtibwa jumamosi
 
Mimi ni member na mshabiki tu. Natoa tu maoni yangu. Kuwa huru kutoa maoni yako Mkuu. Lazima tuyaheshimu.
 
Ntakuwa wa mwisho kumlaumu coach LWANDAMINA,

Kwanza nawashukuru viongozi,wachezaji ,wanachama na mashabiki wa Yanga popote pale walipo.

Mwisho timu yetu INA hali ngumu tuisaidie popote tulipo timu imetoa utaratibu wa kuchangia tutii kabla ya kudai matokeo bora.

Naambiwa kocha Lwandamina ni mvumilivu mwenyekujua shida na raha.
 
You tried very well writing in English. Keep it up, you will improve with time!!
 
Hakuna kocha wa kujiuzuru hapo,Nijiuzuru ili nikose PESA ya bure ya mkataba kuvunjwa???

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Mgumu sana kuelewa, sijui hata kama shule ulipata marks zinazoridhisha. Hapo juu nimekueleza hakutaka mtu atafsiri ila bado tu umenipa'any'ana mara apige simu, mara hoja dhaifu, kazi ipo!!

Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
 
Ataelewa hisia za nani? Wewe kama Nani, so far una Mchango gani kwa klabu mpaka uwe Na influence yoyote kwa klabu. Hivi mashabiki wa kijima km wewe mtaisha lini tz. Basi timu upewewe wewe ufundishe
 
Tatizo pesa tu hapo yanga! Huwezi kujitoa kwa ajili ya timu kisha ukasubiri pesa 3months. Kama mnawaza ubingwa ni wa lazima kwa timu hizo za siasa. Tukutane mechi na mtibwa.
 
I totally agree with you Rweye
Nimeiangalia game ya jn mpk nikasikitika,team inacheza vibaya cjapata ona,wachezaji karibu wote wameshuka viwango na kuna dalili wakaendelea kushuka viwango kila cku
 
Lwandamila hajui kiswahili jamani. Tufikiri kidogo kabla ya kukomenti
 
Tatizo letu watanzania tunajua sana kuliko hata wataalam wenyewe,hebu jiulize ni makocha wangapi wa kiwango cha juu walipita Yanga wakashindwa kuyaishi maisha ya soka letu lakini leo hii wana mafanikio huko waliko???Uvumilivu ni sifa nzuri ya mwanamichezo,Leo GL hafai lakini ni juzi tu alikuwepo babu Pluijm tulimchukia tu baada ya simba kuwa wanasawazisha magoli tunayowafunga jioni,tukamlaumu kuwa timu haina pumzi wachezaji wamemzoea.Tumwache GL afanye kazi tumhukumu mwisho wa msimu


 
Mgumu sana kuelewa, sijui hata kama shule ulipata marks zinazoridhisha. Hapo juu nimekueleza hakutaka mtu atafsiri ila bado tu umenipa'any'ana mara apige simu, mara hoja dhaifu, kazi ipo!!

Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
Majibu ya kukurupuka na ubishi wa kishamba kabisa
 
Ataelewa hisia za nani? Wewe kama Nani, so far una Mchango gani kwa klabu mpaka uwe Na influence yoyote kwa klabu. Hivi mashabiki wa kijima km wewe mtaisha lini tz. Basi timu upewewe wewe ufundishe
Umeruka kimo cha maafa
 
Lwandamina is not agood coach.The team under him is not playing the normal yanga football.Even when the team lost yanga used to outperform their oppponents.That was before this zambian was given the team.

He has failed to organise the team remaining depending just on individual skills of players.No creativity.Cant do the needy substitutions.No motivation to the players.He is just a looser.

Even when yanga win a match the team is just playing shit football.What Lwandamina is better at, than Mecky or Katwila is just coaching in English.But technically many local Tanzanian coaches are far better than him.When people urge that foreign player must have the x-factor that our players lack the same must be applied for the so called foreign coaches like this man Lwandamina.He is one of the reason the club is now facing economic problems.He is paid highly for the useless job.He must be sacked
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…