Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Na wewe acha kuchekesha jukwaa Yanga ina kiwango gani cha kimataifa? Wazee wa 4GNimepokea kwa hofu kubwa sana taarifa za timu ya Gor Mahia kumhitaji kocha mbovu wa Yanga George Lwandamila.
Huyu kocha ndio alisababisha kuporomoka kwa kiwango cha kimataifa cha Yanga kilichotengenezwa na Mzungu Pluijm , na kama si mbereko ya TFF , Mnyama alikuwa abebe ile ndoo.
Sasa cha kushangaza ni kwamba kocha mbovu kama huyu ni wa kutakiwa na timu nyingine kweli ! Kama siyo hirizi ni nini basi jamani ?
Hata mimi nasubiri majibi kutoka Dsm na Lusaka .Mh hata kama Naichukia Yanga si kiivi... Lakini kuna mtu kweli hapa wa kuthibitisha haya maandiko yako...
Ngoja nivute subra
Unaweza ukawa umepost kitu afu wewe mwenyewe unajishangaa umepost nini siyo kwa ujinga huo,,,Nimepokea kwa hofu kubwa sana taarifa za timu ya Gor Mahia kumhitaji kocha mbovu wa Yanga George Lwandamila.
Huyu kocha ndio alisababisha kuporomoka kwa kiwango cha kimataifa cha Yanga kilichotengenezwa na Mzungu Pluijm , na kama si mbereko ya TFF , Mnyama alikuwa abebe ile ndoo.
Sasa cha kushangaza ni kwamba kocha mbovu kama huyu ni wa kutakiwa na timu nyingine kweli ! Kama siyo hirizi ni nini basi jamani ?
Mkwasa na mexime ndgDuuuh hatari sasa sijui itakuwaje akiondoka, kocha yupi ataifaa yanga
Katibu atajiajiri kuwa kochaDuuuh hatari sasa sijui itakuwaje akiondoka, kocha yupi ataifaa yanga
anhaa [emoji106]Katibu atajiajiri kuwa kocha
Mecky mexime yupo Yanga?Mkwasa na mexime ndg
Mecky mexime yupo Yanga?Mkwasa na mexime ndg
Nani anafaa kuwa Rais wa TFF? - Poll on StrawPoll.com bofya link kupiga kuraOkwi ndio mchawi kawaloga Matopeni SC.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mdada kumbe upo fit hata kwenye maswala ya soka.Nimepokea kwa hofu kubwa sana taarifa za timu ya Gor Mahia kumhitaji kocha mbovu wa Yanga George Lwandamila.
Huyu kocha ndio alisababisha kuporomoka kwa kiwango cha kimataifa cha Yanga kilichotengenezwa na Mzungu Pluijm , na kama si mbereko ya TFF , Mnyama alikuwa abebe ile ndoo.
Sasa cha kushangaza ni kwamba kocha mbovu kama huyu ni wa kutakiwa na timu nyingine kweli ! Kama siyo hirizi ni nini basi jamani ?
hirizi haishonwi kwa cherehani!Nimepokea kwa hofu kubwa sana taarifa za timu ya Gor Mahia kumhitaji kocha mbovu wa Yanga George Lwandamila.
Huyu kocha ndio alisababisha kuporomoka kwa kiwango cha kimataifa cha Yanga kilichotengenezwa na Mzungu Pluijm , na kama si mbereko ya TFF , Mnyama alikuwa abebe ile ndoo.
Sasa cha kushangaza ni kwamba kocha mbovu kama huyu ni wa kutakiwa na timu nyingine kweli ! Kama siyo hirizi ni nini basi jamani ?