Lwandamina unasubiri nani akwambie nini?

Siku zooooote uwa nasema na bado ntaendelea kusema, TATIZO KUBWA AZAM FC NI VIONGOZI period. Azam fc ina kila sbb ya kufika mbali na kuziacha simba na yanga kama wangekua na viongozi weledi kwenye soka. Thank God, nimeacha kuifatilia maana inaniumiza tu.
 
Hii timu ni ya familia, tafuta pesa anzisha timu
 
Azam ni toto la Simba au Yanga? mi sielewi hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…