Lyanga anazingua Sana kwa kupoteza mipira na chenga zake za kijinga

Mkuu umeongea kitu ambacho Mimi nilikiona , The entire timu ni kimeo , angalau kidogo kipa pamoja na midfielder flan hv sjui nan vile, mengine yote hamna kitu , mtu anatoa passi badala atanue unamuona anatembea Tu mpaka mwenye mpira anapoteza ..... Wachezaji wanabutua butua tuu, backpass za hovyo ,Jana tulikutana na vibonde wenzetu tu
 
Huyo Mgunda unamwamini mzee?
 
Mkuu siku tukiacha siasa kwenye mpira ndio tutafika mbali lakini kama tutaendelea hivi basi tutakuwa tunalaumu laumu mara kocha, wachezaji.
 
Uchezaji wa Lyanga na Miraj Athuman umepishana kidogo tofauti Miraj anajua zaidi kufunga
 
Tanzania siasa ndio baba lao. Mkuu alishauri pawe na club ya taifa ili kupata wachezaji mbadala wa Simba and Yanga, waziri wa michezo sijasikia msomi yake. Hata kuelezea hali ya janga la corona, mganga mkuu wa serikali marufuku.
 
Kuna wajinga walisapoti kauli ya huyo kiongozi tena kwa makofi mengi sana.
Kiongozi siku zote yuko sahihi, hata akikohoa na kukwambia, ' kwa nini nakuuliza hujibu? ' mwambie samahani, unalitafakari swali.
 
Kiongozi siku zote yuko sahihi, hata akikohoa na kukwambia, ' kwa nini nakuuliza hujibu? ' mwambie samahani, unalitafakari swali.
Huu ni ujinga tena mkomavu..

Hakuna mtu anaemaster mambo yote ni yeye tu,.. Kwani Hakuna wataalam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…