Lyle na Erik walivyotekeleza mauaji ya wazazi wao

Lyle na Erik walivyotekeleza mauaji ya wazazi wao

A

alisemaje mkuu hebu nishushie au mpaka nikatafute
Alikubari kuwa yeye ndiye alimpiga risasi ya kichwa baba yake na mkono mama yake na mdogo wake akammalizia mama yake kwa kumpiga risasi nyingine mpili na kumfumua kichwa.
Pia anadai sababu ni kwamba walikuwa wakiishi kwa hofu ya kuwa baba yao atawaua kwakuwa alikuwa akiwapiga na kuwatesa hata kuwaingilia kinyume na maumbile, hivyo alijua ipo siku watakuja sema kwa hiyo angewaua kabla ya wao kutoa siri.
Kuhusu mama yao anadai alijua yote waliyokuwa wanafanyiwa na baba yao lakini hakufanya lolote juu yakuwasaidia.
Pia anasema ana amani kuwa gerezani kwakuwa ndiko anadhani anatahili kuwa kwa kuwaua wazazi wake.
Sasa sijui anyoasema alikuwa anafanyiwa na baba yake yana ukweli
 
Alikubari kuwa yeye ndiye alimpiga risasi ya kichwa baba yake na mkono mama yake na mdogo wake akammalizia mama yake kwa kumpiga risasi nyingine mpili na kumfumua kichwa.
Pia anadai sababu ni kwamba walikuwa wakiishi kwa hofu ya kuwa baba yao atawaua kwakuwa alikuwa akiwapiga na kuwatesa hata kuwaingilia kinyume na maumbile, hivyo alijua ipo siku watakuja sema kwa hiyo angewaua kabla ya wao kutoa siri.
Kuhusu mama yao anadai alijua yote waliyokuwa wanafanyiwa na baba yao lakini hakufanya lolote juu yakuwasaidia.
Pia anasema ana amani kuwa gerezani kwakuwa ndiko anadhani anatahili kuwa kwa kuwaua wazazi wake.
Sasa sijui anyoasema alikuwa anafanyiwa na baba yake yana ukweli
mmh yaweza kuwa kweli haya? au anatafuta public sympathy!
Lakini yawezekana pia walikuwa wanafanyiwa hayo,manake wazungu akili zao wanazijua wenyewe
 
Watoto wajinga ever. Kuwaua wazazi kisa kurithi mali wakati hizo mali zilikuwa zinatafutwa kwaajili yao!!
Poor them...
 
Walipo haribu ni kutoa siri kwame usitoe siri yeyote ni bora ubaki nayo mpaka unakufa hata iwe umefanya jambo baya la hatari katika jamii lakini siri ni yako hupaswi kumwambia mwingine.
 
kama maneno yao ni kweli baba yao alikua akiwabaka na kuwaingiza vitu kama miswaki na mshine za kunyolea sehemu zao za siri......and this has been going on kwa muda since around 1976 hivi......Am just sad walichelewa kuchukua hatua na kutekeleza mauaji haya very late.
 
kama maneno yao ni kweli baba yao alikua akiwabaka na kuwaingiza vitu kama miswaki na mshine za kunyolea sehemu zao za siri......and this has been going on kwa muda since around 1976 hivi......Am just sad walichelewa kuchukua hatua na kutekeleza mauaji haya very late.
Mswaki na mashine ya kunyolea?Aisee watakua na mabwawa ya hatariii aiseee.
 
Kuna raha yakuishi duniani bila baba na mama,! Hata uwe na pesa vipi.wazazi kuwa nnao ni stalehe ya tofauti.
 
Asante kwa stori. bora hata wangekimbia kuliko kukatisha uhai wa wazazi wao.
 
CC: elmagnifico
Njoo basi umalizie ile story kule ya Mr Tom wales na Mwanae Robert
 
So Sad Hawakumtendea Haki Huyo Mama Yao,ila Baba Walimchelewesha Kumwua
 
Daaah unawauwa wazazi wenu kisa anataka muwe na maisha mavuri hapo baadae laiti wangetambua hayo mapema.....hata hapa kuna wazazi wanapata shida hii lakini ndio hivyo wanaishia kuvuta gundi mitaani waendele kutumikia adhabu wanayostaili
 
Back
Top Bottom